Vodacom ni Wezi?

Vodacom ni Wezi?

Yaani sometime wanatuma msg eti bado mb 150, unaamua kuzimansata na kusign out insta kupunguza matumizi. The ushazima.data unaambia kifurushi kimeisha

hiyo sms huwa haina maana ni kama pale mwanaume anamwambia demu mpira umepasuka[emoji23][emoji23][emoji23]huwa kashafunga goli.
 
jamani msisahau google photo kama umeweka backups ukiunga mb tu ina upload picha,so bundle linayoyoma tu.
 
jamani msisahau google photo kama umeweka backups ukiunga mb tu ina upload picha,so bundle linayoyoma tu.
Acha walalamike. Wakati wamesett app zao ziji update automatically wanapofungua data .
 
Umefungaje data na mtandao unasoma 4g
Hujawahi kutumia simu za 4g wewe, ukifunga data 4g inasimama kwenye mtandao bila kucheza but ukifungua data ndipo 4g inaanzs kupanda na kushuka. Najua hujawah kuzitumia ndio maana umeshangaa. Ukiangalia hiyo 4g imesimama tu kwenye mtandao, tafsiri yake ni data zipo off mkuu. Hope umenielewa.
 
Hujawahi kutumia simu za 4g wewe, ukifunga data 4g inasimama kwenye mtandao bila kucheza but ukifungua data ndipo 4g inaanzs kupanda na kushuka. Najua hujawah kuzitumia ndio maana umeshangaa. Ukiangalia hiyo 4g imesimama tu kwenye mtandao, tafsiri yake ni data zipo off mkuu. Hope umenielewa.
Nikisimamisha data hata hizo ma4g hazisomi. Nawajaribu voda hapa nimenunua cha 550MB nataka nibrowse tu jamiiforum, watsapp nione nitadumu kwa muda gani.
 
VODACOM tabia ya kuiba mabando ya internet wanayomuda mrefu sana, ndio maana nimewakimbia. Kwanza gharama zao ni kubwa mno. Nipo zangu zantel sitaki tabu 4g ya maana na ni cheaper japo wamepandisha gharama majuzi ila bado ni nafuu kulinganisha na hawa ngumbaru wezi. Na usiombe customer care akapokea mwanamke yani unaweza pasua simu, hawajui technicalities wao ni majibu kama robot tu.
 
Voda wanatafuna bundle hilo halina utani. Mimi natumia tigo miaka yote nikiweka voda kifurushi labda tigo mtandao uwe chini.

Nina ttcl pia internet yao iko vizuri na uzuri inafanya roaming na tigo japo naitumia kama hotspot home
 
Wewe nawe bado uko na voda tu ? Wengine tulishaachana nao kitambo. Ni wapuuzi sana. Voda naitumia kwa miamala ya fedha tu basi
Tangu Vodacom Tanzania wapunguze Bundle wamekuwa na tabia ya kutokutuma ujumbe wa kiasi cha bundle ulichonunua, thamani yake na muda wa matumizi! Nimejaribu kuwasiliana nao bila mafanikio.

Jana nikajiunga tena na bundle ya week ya Tzs 3,000 ila sijapokea SMS tena inayoosha thamani, kiwango na muda wa matumizi. Kwa bahati mbaya sana mchana huu wananiambia kifurushi kimeisha!

Na Jana muda mwingi SAna nilikua offline. Kimetokea nini? Nimenunua tena mchana huu issue iko pale pale.

Na hii niliwahi experience Mara kadhaa huko nyuma. Ukinunua kifurushi halafu hupati SMS alert basi ujue hio bundle haina uhai mwingi.

Ukiwapigia ukabahatika kuwapata, sana majibu ya kukaririshwa mno! Hawanaga msaada wowote.

Anyway, nimenunua tena wacha tuendelee kunyanyaswa.
 
Angalia Kuna apps itakuwa zinakula data hata kama haujazifungua usiwalalamikie Voda check your phone pia punguza mi application ambayo unaona haina kazi.. halafu usikute umeweka 4G unakuja kulalamika huku unafikiri 4G inakula pipi ndugu..? Ile inatafuna mb haswaa..[emoji23]
Sawa mfanyakazi wa voda.
Lakini mwenzio nilimpigia simu nikamuuliza nimejiunga saa ngapi akasema saa 1na dakika 47.
nikamwambia baada ya kufungua data nikaingia jf nikafunga data nikalala saa 9 usiku naamka nafungua data naingia Instagram dakika 3 nyingi mnanitumia meseji data zimeisha.MB 550 zimeishaje?
Akaanza kujiuma uma
Nikamwambia nyie ni wezi,tena majambazi na waambie na mabosi zako "MBWA NYIE"
nikakata simu.
NARUDI HALOTEL
 
Sawa mfanyakazi wa voda.
Lakini mwenzio nilimpigia simu nikamuuliza nimejiunga saa ngapi akasema saa 1na dakika 47.
nikamwambia baada ya kufungua data nikaingia jf nikafunga data nikalala saa 9 usiku naamka nafungua data naingia Instagram dakika 3 nyingi mnanitumia meseji data zimeisha.MB 550 zimeishaje?
Akaanza kujiuma uma
Nikamwambia nyie ni wezi,tena majambazi na waambie na mabosi zako "MBWA NYIE"
nikakata simu.
NARUDI HALOTEL
Dah! Sawa mi mwizi na mimi ni mfanyakazi wa Vodacom..😅
 
I know this night is weighing heavy on your heart
You're beaten and broken and the World seems so dark
You never thought that you could ever fall so hard
But you're not as alone as you think you are

Mama said "Don't worry where the Sun is gone,
You can't see it shining when everything feels wrong;
Don't you know your darkest hour's only 60-minutes long...


And tomorrow's on its way."
Mama said, "Don't give up today."

I know you're lost, can't see the light
But the brightest Stars need the darkest night
This storm will pass if you hold on tight
A new day is waiting on the other side

Hold Hold Hold Hold Hold on

Don't you know the darkest hours
Coming just before the dawn
And tomorrow's already on its way
Mama said, "Don't give up today!"

Sometimes it's hard to see anyway out
The weight of this World keeps on dragging you down
So tired and lonely you can't carry that load
But there's a light inside that's going to carry you home

Mama said "Don't worry where the Sun is gone,
You can't see it shining when everything feels wrong;
Don't you know your darkest hour's only 60-minutes long...
And tomorrow's on its way."

Mama said "Don't worry where the Sun is gone,
You can't see it shining when everything feels wrong;
Don't you know your darkest hour's only 60-minutes long...
And tomorrow's on its way...
There is purpose in your pain."
Mama said, "Don't give up today."
Lugha ya malkia Mimi siiweziiii [emoji1787]
 
Nanunuaga ya 2000 GB 1.5 kwa siku tatu lakini simalizi siku2 imakekata. Masaa24 mengi ikizidi sana 28. Nilikuwa halotel nkaenda voda.. Nimetua airtel . sa sijui tukimbilie wapi
Ahahah sehemu ya kutulia ni Halotel. Mb zao unadumu nazo muda mrefu. Lkn mtandao utajua mwenyewe pa kuupata. Bs shida tupu
 
Angalia Kuna apps itakuwa zinakula data hata kama haujazifungua usiwalalamikie Voda check your phone pia punguza mi application ambayo unaona haina kazi.. halafu usikute umeweka 4G unakuja kulalamika huku unafikiri 4G inakula pipi ndugu..? Ile inatafuna mb haswaa..[emoji23]
Ili nalo Lina ukweli
 
Back
Top Bottom