VodaCom ni WEZI

VodaCom ni WEZI

Nilikuwa Mbeya majuzi, kila nilipojaribu kuingia Cheka Time, nilijibiwa; "Huwezi kujiunga na Cheka Time leo, jaribu tena kesho"! Basi hiyo kesho "ilikuwa kesho, kesho kesho keshooooo"! Nina ndugu yangu kule Mbeya aliwahi kuniambia lakini sikuamini, kwa kweli nimeshuhudia mwenyewe!!! Kimbiza haoooo, wezi wakubwa!!!!!!
 
Kwa faida ya watumiaji wengi zaidi na Vodacom wenyewe ni vema haya malalamiko ungeyafikisha (kama bado hujafanya hivyo!) pia Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA). Ni rahisi tu, fuata link hii hapa chini:
http://www.tcra.go.tz/customer/complaints.php

Never, hawa jamma hamna wanalofanya hata ukipeleka complain, mimi nina ushahidi nimepeleka complains mara kadhaa hadi kwa director wa TCRA but unachopata ni kimya. Sijui hii idara inafanya nini hasa. I suspect wana-collude na hawa operators wa mobiles na ndio maana wanatufanya jinsi wanavyotaka. TCRA ni uozo mtupu. U sihangaike hata kutumia browser yako kutembelea site lao. Do someting else useful na hama mtandao ingawa kote kuna downside, but choose the least downsided. At least I am informed on this. Akibisha tuweke emails nilizotuma personal na bila majibu. I thought they were dead until the sim reg exercise, I heard them they are there, BUT why no response as an authority.
 
Moderator tafadhali usibadilishe heading nimemaanisha iwe hivyo kwani Vodacom ni wezi kweli kweli sio masihara. Nimekuwa najiunga na cheka time yao ambayo wanadai ni 24 hours japo si kweli. Lakini cha ajabu hata hayo masaa ambayo bado ni less than 24 hawatoi hiyo huduma inavyotakiwa matokeo yake wanaiba kwa ku-double charge. Wanadai muda wa cheka time ni ni saa 12-11 jioni na saa 3-6 usiku lakini mara nyingi hiyo saa saa 3 mpaka 6 usiku hata kama una dakika 60 za cheka time hawatumiii hiyo balance badala yake wanakucharge kawaida. Huu kama sio wizi ni nini? Hiyo double charge jamani inakuwaje? Hakuna apology wala refunds kama tulivyozoea mitandao mingine wao wanauchuna, wakikucharge wrongly ndio imetoka hiyo. Its true kwamba computers huwa zinafail lakini basi muwe mnarefund kama wanavyofanya wengine? Huu kama si ufisadi nao tuuiteje? Otherwise badilisheni jina la hii huduma yenu badala ya CHEKA TIME iwe NUNA TIME maana huwezi kucheka kwa kuwa double charged sana sana utaishia kununa tu.

Pole sana ila nakushauri uwe unasoma ile sms unayopata wakati umenunua cheka time. Siku hizi imebadilika hivi use chake time all day long except 5-10 pm. Siku hizi si 5-9 pm. and it will end up at 11.59 pm. Be careful next time ili usionekane unalalamika na ku-brand company jina bawa(WEZI) wakati wakikupeleka mahakamani utashindwa na utalipa billions!!!

Ila kuna namna wanafidia cheka time yao. Wewe jaribu tu kupiga simu muda ule ambao uko nje ya cheka time, yaani tarrif ni kiboko. So use your cheka time effectively na pumzika kwa muda huo niliosema. Until further changes!!!!

Thank you VODACOM kwa wafanya biashara tumepata neema maana kama ni mawasiliano ya kawaida tu dakika 60 ni nyingi mno, unless wewe ni kijana and you have.......Ha ha ha . Ujana bana, kazi kweli kweli.
 
Nilikuwa Mbeya majuzi, kila nilipojaribu kuingia Cheka Time, nilijibiwa; "Huwezi kujiunga na Cheka Time leo, jaribu tena kesho"! Basi hiyo kesho "ilikuwa kesho, kesho kesho keshooooo"! Nina ndugu yangu kule Mbeya aliwahi kuniambia lakini sikuamini, kwa kweli nimeshuhudia mwenyewe!!! Kimbiza haoooo, wezi wakubwa!!!!!!

Pole hata leo 31st Decembe hadi 2nd Januayu ndipo cheka time will resume!!! Hehe hehe . Mahesabu makali bwana. Tumia pesa sikukuu hizi kwa ajili ya mawasiliano na wanajua kuwa ni heavy tariff kwa mawasiliano kwa sasa kwa sababu ya top up ya tarrfi waliyoweka ku-compasate cheka time. Hiyo ndiyo marketing babu kubwa. Marteting is techniques, techniques, techniques and techniques, mpaka utahema kizitaja.
 
Zantel CHEKA TIME ya ni 200/= tu, afu ni 24hrs,lakini hamtaki kujiunga.
Wajinga ndo waliwao.
 
Zantel CHEKA TIME ya ni 200/= tu, afu ni 24hrs,lakini hamtaki kujiunga.
Wajinga ndo waliwao.

Du sasa nitakuwa na line ngapi za simu mkuu?? Ila tangu awali zantel ni tarrif ni ndogo kuliko hata tiGo.
 
Unajua Vodacom ni wajanja sana, kuna kitu wameficha hapa. na hawataki kupata hasara, Kwa mfano kama vodacom ina wateja milioni 5 halafu wote waunganishwe na hiyo cheka time kwa sh. 500. si itakuwa hasara kwao? Badala yake nadhani wanakuwa na idadi maalum ya wateja wanaotakiwa kujiunga na chekatime. Kwa mfano wakiweka limit ya wateja 100 matokeo yake wengine wanaambia huwezi kujiunga na cheka time leo jaribu kesho.

Vodacom bwana wee waache tu. Mimi ni mteja wao toka mwaka 2001 mpaka niko Voda ila siku moja moja nadoa mtandao wa tigo.
 
Moderator tafadhali usibadilishe heading nimemaanisha iwe hivyo kwani Vodacom ni wezi kweli kweli sio masihara. Nimekuwa najiunga na cheka time yao ambayo wanadai ni 24 hours japo si kweli. Lakini cha ajabu hata hayo masaa ambayo bado ni less than 24 hawatoi hiyo huduma inavyotakiwa matokeo yake wanaiba kwa ku-double charge. Wanadai muda wa cheka time ni ni saa 12-11 jioni na saa 3-6 usiku lakini mara nyingi hiyo saa saa 3 mpaka 6 usiku hata kama una dakika 60 za cheka time hawatumiii hiyo balance badala yake wanakucharge kawaida. Huu kama sio wizi ni nini? Hiyo double charge jamani inakuwaje? Hakuna apology wala refunds kama tulivyozoea mitandao mingine wao wanauchuna, wakikucharge wrongly ndio imetoka hiyo. Its true kwamba computers huwa zinafail lakini basi muwe mnarefund kama wanavyofanya wengine? Huu kama si ufisadi nao tuuiteje? Otherwise badilisheni jina la hii huduma yenu badala ya CHEKA TIME iwe NUNA TIME maana huwezi kucheka kwa kuwa double charged sana sana utaishia kununa tu.
Pole sana kwa kutokucheka,hicho wanachofanya voda ndio kina maanisha cheka time wewe ulipaswa kucheka kwa lililokutokea,sababu kuwa double charged ni sehemu ya kicheko pia,ulitakiwa kucheka sababu wao wamekuwa wajanja zaidi yako,wala hauna haja ya kununa,we cheka tuu!!
 
Hawa jamaa wa vodacom are very janjaful muda wa kazi cheka time inatumika kwa sababu watu wanakuwa busy na kazi kuanzia 11 watu wanatoka maofisini kwenda kupumzika huduma inasimamishwa hadi saa 3 muda ambao watu wamechoka,kwa kweli wapo kibiashara zaidi wao wanacheka customer wao wananuna.
 
Du sasa nitakuwa na line ngapi za simu mkuu?? Ila tangu awali zantel ni tarrif ni ndogo kuliko hata tiGo.
siku hizi jamani kuna simu za tochi zimetulia sana sh 35000 tu!, which means ukiwa na kilo na nusu then utakua na simu nne zenye line nne tofauti na utaamua mwenyewe utumie ipi uache ipi!!!. ila my self i like KUJIEXPRESS safi sana huu mtandao!!, kwa sh 2000 unalonga kwa zaidi ya dk 25
 
tiGo you rock my world!!

Happy New Year tiGo customers, sas hivi hata 'rais' anatumia tiGo kwa ku avoid excessive charges za vodacom!!!

Happy New Year!
 
La Mgambo!!!!

Wakati umefika wa kususia mtandao wa Vodacom na biashara zote ambazo RA ni mwanahisa, tukiendelea kucheka na huyu muIran atatumaliza tunajiona walahi...........
kauli kama hizi zilishatolewa hapa JF kama miezi 4 iliyopita kama sikosei lakini mijitu bado haielewi eti tIGO ni za wanafunzi sh@#$@# kabisa, endeleeni na hiyo voda..wajanja wako tIGO na Zantel
 
Jamani nami yalinipata ya Cheka time...tuwe macho watumiaji wa simu...ushindani ni mwingi na kila mmoja anakuja na mbinu mpya ili aweze kumbabaisha mbwa kwa miluzi kibao... beware labda afadhali kidogo tigo na nasikia wameanza kuzoa wateja kibao.. isije nao baadaye wakawa kama mbwa mwitu mwenye mavazi ya kondoo!!!
 
Cheka Time ni changa la moto, wizi mtupu. Afadhali na Mzuka kutoka Zantel, kuanzia saa 4 na nusu usiku hadi saa 4 na nusu asubuhi kwa shilingi 200. Wangapi wana line za Zantel ndio swali.
 
VODA ni wizi mtupu
tunaomba wabadilike wameshatuibia sana inatosha!!!!!!
 
Hizi promotions za kampuni za simu ni wizi ambao unacheza na tabia ya binadamu kutaka kitu cha chee.
Na wanawa[pata wengi sana kwa mtindo huu.
Hebu fikiri, cheka time niTshs 500 kwa mteja.Wakiingia mtegoni watu milioni moja tu jamaa wana Tshs 500 milion kwa siku MOJA!!
Watakaobahatika kutumia mtandao hwatazidi hat 15% ya watu hao kutokana na vizuizi mbalimbali vinavyowekwa na mitandao ya computer zao.
Watu wanaibiwa na huku wanaona.
Utaambiwa oooh utabeba mchuma(wa Tshs 50mil) lakini wao maejizolea katika wiki hiyo au muda nuo zaidi ya billion 3.
Mind you hata kodi ya VAT hawalipi.
No wonder wanashindana kuwaibia waTanzania
 
Back
Top Bottom