Vodacom pia walipanda kizimbani kutoa ushahidi dhidi ya Sabaya katika kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili

Vodacom pia walipanda kizimbani kutoa ushahidi dhidi ya Sabaya katika kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili

Hapo vip!

Katika kesi ya Sabaya vodocom walipanda kizimbani kutoa ushahidi dhidi ya Sabaya ila huu upande ambao kwa sasa hivi wanailalamikia TIGO kutoa ushahidi dhidi ya kesi ya Mbowe waliona sawa na walikaaa kimya.

Ninachokiona kuna ushabiki mkubwa wa kisiasa katika hizi kesi..nakuna vikundi vya watu unajaribu kupeleka pressure kwenye chombo cha kutoa haki ili iyamue shauri kulingana na matakwa yao.

Kuna upande wao wanajiona wapo sawa na nimalaika wakamilifu wasio kosea ila wao wanahaki ya kumtuhumu mtu mwingine hata kwa hila.

Nchi ikifikia hapa yakwamba kunawatu wanaweza kushinikiza vyombo mbalimbali ndani ya nchi hii ifanye maamuzi kwa maslahi yao ni hatari sana.

----
Meneja wa ulinzi na mshirika katika vyombo vya ulinzi na usalama Vodacom PLC makao makuu, James Wawenje emepanda kizimbani leo kutoa ushahidi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya Hai, Lengai ole Sabaya na wenzake sita.

Shahidi huyo wa sita wa Jamuhuri akitoa ushahi wake mbele ya hakimu mkazi wa Mahakama ya Arusha, Patricia Kisinda amesema idara yake ndiyo inahusika na mfumo wa kunakili kumbukumbu za kupiga na kupokea simu na kunakili ujumbe wa simu.

Akiongozwa na wakili mwandamizi wa Serikali, Ofmed Mtenga amesema idara yake pia ndiyo inahusika na kunakili kumbukumbu za kutuma na kupokea miamala.

Amesema amekuwa mwajiriwa wa Vodacom tangu Agosti 25, 2015 ma ana shahada uzamili masuala ya utawala katika ulinzi aliyoipata nchini Uingereza.

Amesema katika majukumu yake wateja wake wakubwa ni Jeshi la Polisi, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), mahakama na taasisi zingine kama Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Mamlaka ya Mapato (TRA) na tume za ushindani.

Wawenje ameileza mahakama kuwa amekuwa akishirikiana kutoa taarifa za uchunguzi kwa mujibu wa sheria.

Kusimamia ulinzi na mali za kampuni na kishirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama kutoa nyaraka zinapohitajika kwa mujibu wa sheria.

Katika shauri hilo la uhujumu uchumi namba 27, 2021 washitakiwa wengine ni Enock Mnkeni, Sylvester Nyegu, Jackson Macha na Nathan Msuya.

Washitakiwa hao wanakabiliwa na makosa matano la kwanza ambalo ni kuongoza genge la uhalifu na kosa la tano ambalo ni utakatishaji fedha linawakabili washitakiwa wote saba wanadaiwa kupata Sh90 milioni huku wakijua kupokea fedha hizo ni zao la kosa la vitendo vya rushwa.

Kosa la pili, tatu na nne Sabaya peke yake ameshitakiwa kwa makosa ya kujihusisha na rushwa ambapo anadaiwa kuchukua Sh90 milioni matumizi mabaya ya ofisi akiwa Mkuu wa Wilaya ya Hai.

Watuhumiwa hao wanatetewa na mawakili Moses Mahuna, Fauzia Mustapha, Edmund Ngemela na Fridolin Gwemelo.

Katika shauri hilo Jamuhuri inawakilishwa na wakili mwandamizi Ofmed mtenga na Felix Kwitukia na Wakili Neema Mbwana.
Shahidi huyo anaendelea kutoa ushahidi wake.

Soma gazeti la Mwananchi na mitandao yake kwa habari zaidi kujua amesema nini kuhusu Sabaya.

Chanzo: Mwananchi
 
" Wawenje ameileza mahakama kuwa amekuwa akishirikiana kutoa taarifa za uchunguzi kwa mujibu wa sheria.

Kusimamia ulinzi na mali za kampuni na kishirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama kutoa nyaraka zinapohitajika kwa mujibu wa sheria."

Wewe unajichanganya, kosa la mwanasheria wa tigo ni kujibu kijinga kuwa wao kulinda taarifa za wateja sio jukumu lao, angejibu kama hapo juu na kuonyesha jinsi utaratibu wa kumba, kupokea kama ulifuata sheria kusingekuwa na shida.
 
Malalamiko siyo Kapala kutoa taarifa kwa vyombo vya usalama, malalamiko ni utaratibu aliotumia Kapala. Yaani yeye mtu mmoja anapokea barua ambayo hailezi tuhuma au kosa la mtu (ili kujua sababu za kutaka taarifa zake), yeye mwenyewe peke yake anaingia kwenye mtandao, yeye mwenyewe anaprint taarifa, yeye mwenyewe anajibu barua na kuwasilisha taarifa hiyo kwa waliomuomba.
Yaani kana kwamba yeye ndiye Tigo au Tigo hakuna watu wengine!
Je kama alipeleka taariifa zisizo sahihi nani alizihakiki? Kumbuka alipeleka printout siyo snap shot (sijui kama unajua kuwa print out ni rahisi kui-edit kuliko snap shot.
Kwa utaratibu huo inawezekana viongozi wengine hata mkuu wa kitengo cha sheria wasijue kama kuna taarifa binafsi zimevujishwa.
What if mtaka taarifa ana ugomvi binafsi na anataka taarifa hizo kumchafua mwenzake -una control vipi katika mazingira hayo?
 
Nani na nani waliendesha hiyo kampeni mkuu?maana ushahidi umetolewa just two weeks ago na sijaona hiyo kampeni ya kususia vodacom.
Hiyo ya juzi si mara ya kwanza kwa hiyo kampuni kutoa ushahidi mahakamani. Two to three years ago, or so,; walifanya kitu hicho nami nikadhani ama mmoja wa wamiliki ni wa chama cha mafisadi na labda wamejifunza kutokana na reaction ile kumbe sikio la kufa.
 
Nje ya mada.

Vodacom vs Tigo.

Jina lipi walau lina mvuto kwa muonekano na kulitamka?
 
Hapo vip!

Katika kesi ya Sabaya vodocom walipanda kizimbani kutoa ushahidi dhidi ya Sabaya ila huu upande ambao kwa sasa hivi wanailalamikia TIGO kutoa ushahidi dhidi ya kesi ya Mbowe waliona sawa na walikaaa kimya.

Ninachokiona kuna ushabiki mkubwa wa kisiasa katika hizi kesi..nakuna vikundi vya watu unajaribu kupeleka pressure kwenye chombo cha kutoa haki ili iyamue shauri kulingana na matakwa yao.

Kuna upande wao wanajiona wapo sawa na nimalaika wakamilifu wasio kosea ila wao wanahaki ya kumtuhumu mtu mwingine hata kwa hila.

Nchi ikifikia hapa yakwamba kunawatu wanaweza kushinikiza vyombo mbalimbali ndani ya nchi hii ifanye maamuzi kwa maslahi yao ni hatari sana.

----
Meneja wa ulinzi na mshirika katika vyombo vya ulinzi na usalama Vodacom PLC makao makuu, James Wawenje emepanda kizimbani leo kutoa ushahidi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya Hai, Lengai ole Sabaya na wenzake sita.

Shahidi huyo wa sita wa Jamuhuri akitoa ushahi wake mbele ya hakimu mkazi wa Mahakama ya Arusha, Patricia Kisinda amesema idara yake ndiyo inahusika na mfumo wa kunakili kumbukumbu za kupiga na kupokea simu na kunakili ujumbe wa simu.

Akiongozwa na wakili mwandamizi wa Serikali, Ofmed Mtenga amesema idara yake pia ndiyo inahusika na kunakili kumbukumbu za kutuma na kupokea miamala.

Amesema amekuwa mwajiriwa wa Vodacom tangu Agosti 25, 2015 ma ana shahada uzamili masuala ya utawala katika ulinzi aliyoipata nchini Uingereza.

Amesema katika majukumu yake wateja wake wakubwa ni Jeshi la Polisi, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), mahakama na taasisi zingine kama Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Mamlaka ya Mapato (TRA) na tume za ushindani.

Wawenje ameileza mahakama kuwa amekuwa akishirikiana kutoa taarifa za uchunguzi kwa mujibu wa sheria.

Kusimamia ulinzi na mali za kampuni na kishirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama kutoa nyaraka zinapohitajika kwa mujibu wa sheria.

Katika shauri hilo la uhujumu uchumi namba 27, 2021 washitakiwa wengine ni Enock Mnkeni, Sylvester Nyegu, Jackson Macha na Nathan Msuya.

Washitakiwa hao wanakabiliwa na makosa matano la kwanza ambalo ni kuongoza genge la uhalifu na kosa la tano ambalo ni utakatishaji fedha linawakabili washitakiwa wote saba wanadaiwa kupata Sh90 milioni huku wakijua kupokea fedha hizo ni zao la kosa la vitendo vya rushwa.

Kosa la pili, tatu na nne Sabaya peke yake ameshitakiwa kwa makosa ya kujihusisha na rushwa ambapo anadaiwa kuchukua Sh90 milioni matumizi mabaya ya ofisi akiwa Mkuu wa Wilaya ya Hai.

Watuhumiwa hao wanatetewa na mawakili Moses Mahuna, Fauzia Mustapha, Edmund Ngemela na Fridolin Gwemelo.

Katika shauri hilo Jamuhuri inawakilishwa na wakili mwandamizi Ofmed mtenga na Felix Kwitukia na Wakili Neema Mbwana.
Shahidi huyo anaendelea kutoa ushahidi wake.

Soma gazeti la Mwananchi na mitandao yake kwa habari zaidi kujua amesema nini kuhusu Sabaya.

Chanzo: Mwananchi
Shida ni kwamba kesi ya Mbowe ipo wazi kabisa kwamba ni ya kutengenezwa kulingana lakini ya Sabaya 100% bila hata ushahidi you can tell kwamba the guy alikua muuaji na muhujumu uchumi na gaidi
 
Hawajalalamika tigo kutoa ushahidi bali ni alichokieleza mwanasheria wa tigo kuhusu privacy za mteja
 
Hasa Hamza kada mtiifu wa ccm
[emoji23][emoji1787]
FB_IMG_1636033838442.jpg
 
Shida ni kwamba kesi ya Mbowe ipo wazi kabisa kwamba ni ya kutengenezwa kulingana lakini ya Sabaya 100% bila hata ushahidi you can tell kwamba the guy alikua muuaji na muhujumu uchumi na gaidi
Wewe dada una akili kubwa,hii ni comment fupi inayoeleweka kwa kila Mtanzania mwenye akili timamu
 
Gaidi ambaye hajawahi hata kumchoma mtu sindano....

Terrorists usually are arrested with explosive devices!!! Mpaka sasa hakuna explosive device iliyoletwa mahakamani to show intent to commit a violent act!!
Ndioa maana kama sheria zinavyosema kuwa Jaji atoe hukumu ya kesi kufuatana na ushahidi uliotolewa mahakamani na sio vinginevyo!
 
Hapo vip!

Katika kesi ya Sabaya vodocom walipanda kizimbani kutoa ushahidi dhidi ya Sabaya ila huu upande ambao kwa sasa hivi wanailalamikia TIGO kutoa ushahidi dhidi ya kesi ya Mbowe waliona sawa na walikaaa kimya.

Ninachokiona kuna ushabiki mkubwa wa kisiasa katika hizi kesi..nakuna vikundi vya watu unajaribu kupeleka pressure kwenye chombo cha kutoa haki ili iyamue shauri kulingana na matakwa yao.

Kuna upande wao wanajiona wapo sawa na nimalaika wakamilifu wasio kosea ila wao wanahaki ya kumtuhumu mtu mwingine hata kwa hila.

Nchi ikifikia hapa yakwamba kunawatu wanaweza kushinikiza vyombo mbalimbali ndani ya nchi hii ifanye maamuzi kwa maslahi yao ni hatari sana.

----
Meneja wa ulinzi na mshirika katika vyombo vya ulinzi na usalama Vodacom PLC makao makuu, James Wawenje emepanda kizimbani leo kutoa ushahidi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya Hai, Lengai ole Sabaya na wenzake sita.

Shahidi huyo wa sita wa Jamuhuri akitoa ushahi wake mbele ya hakimu mkazi wa Mahakama ya Arusha, Patricia Kisinda amesema idara yake ndiyo inahusika na mfumo wa kunakili kumbukumbu za kupiga na kupokea simu na kunakili ujumbe wa simu.

Akiongozwa na wakili mwandamizi wa Serikali, Ofmed Mtenga amesema idara yake pia ndiyo inahusika na kunakili kumbukumbu za kutuma na kupokea miamala.

Amesema amekuwa mwajiriwa wa Vodacom tangu Agosti 25, 2015 ma ana shahada uzamili masuala ya utawala katika ulinzi aliyoipata nchini Uingereza.

Amesema katika majukumu yake wateja wake wakubwa ni Jeshi la Polisi, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), mahakama na taasisi zingine kama Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Mamlaka ya Mapato (TRA) na tume za ushindani.

Wawenje ameileza mahakama kuwa amekuwa akishirikiana kutoa taarifa za uchunguzi kwa mujibu wa sheria.

Kusimamia ulinzi na mali za kampuni na kishirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama kutoa nyaraka zinapohitajika kwa mujibu wa sheria.

Katika shauri hilo la uhujumu uchumi namba 27, 2021 washitakiwa wengine ni Enock Mnkeni, Sylvester Nyegu, Jackson Macha na Nathan Msuya.

Washitakiwa hao wanakabiliwa na makosa matano la kwanza ambalo ni kuongoza genge la uhalifu na kosa la tano ambalo ni utakatishaji fedha linawakabili washitakiwa wote saba wanadaiwa kupata Sh90 milioni huku wakijua kupokea fedha hizo ni zao la kosa la vitendo vya rushwa.

Kosa la pili, tatu na nne Sabaya peke yake ameshitakiwa kwa makosa ya kujihusisha na rushwa ambapo anadaiwa kuchukua Sh90 milioni matumizi mabaya ya ofisi akiwa Mkuu wa Wilaya ya Hai.

Watuhumiwa hao wanatetewa na mawakili Moses Mahuna, Fauzia Mustapha, Edmund Ngemela na Fridolin Gwemelo.

Katika shauri hilo Jamuhuri inawakilishwa na wakili mwandamizi Ofmed mtenga na Felix Kwitukia na Wakili Neema Mbwana.
Shahidi huyo anaendelea kutoa ushahidi wake.

Soma gazeti la Mwananchi na mitandao yake kwa habari zaidi kujua amesema nini kuhusu Sabaya.

Chanzo: Mwananchi
Jambazi kama Lengai Ole Sabaya inafaa anyongwe Hadharani
 
Shida ni kwamba kesi ya Mbowe ipo wazi kabisa kwamba ni ya kutengenezwa kulingana lakini ya Sabaya 100% bila hata ushahidi you can tell kwamba the guy alikua muuaji na muhujumu uchumi na gaidi
Ubarikiwe sana kwa comment iliyo jitosheleza
 
Hapo vip!

Katika kesi ya Sabaya vodocom walipanda kizimbani kutoa ushahidi dhidi ya Sabaya ila huu upande ambao kwa sasa hivi wanailalamikia TIGO kutoa ushahidi dhidi ya kesi ya Mbowe waliona sawa na walikaaa kimya.

Ninachokiona kuna ushabiki mkubwa wa kisiasa katika hizi kesi..nakuna vikundi vya watu unajaribu kupeleka pressure kwenye chombo cha kutoa haki ili iyamue shauri kulingana na matakwa yao.

Kuna upande wao wanajiona wapo sawa na nimalaika wakamilifu wasio kosea ila wao wanahaki ya kumtuhumu mtu mwingine hata kwa hila.

Nchi ikifikia hapa yakwamba kunawatu wanaweza kushinikiza vyombo mbalimbali ndani ya nchi hii ifanye maamuzi kwa maslahi yao ni hatari sana.

----
Meneja wa ulinzi na mshirika katika vyombo vya ulinzi na usalama Vodacom PLC makao makuu, James Wawenje emepanda kizimbani leo kutoa ushahidi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya Hai, Lengai ole Sabaya na wenzake sita.

Shahidi huyo wa sita wa Jamuhuri akitoa ushahi wake mbele ya hakimu mkazi wa Mahakama ya Arusha, Patricia Kisinda amesema idara yake ndiyo inahusika na mfumo wa kunakili kumbukumbu za kupiga na kupokea simu na kunakili ujumbe wa simu.

Akiongozwa na wakili mwandamizi wa Serikali, Ofmed Mtenga amesema idara yake pia ndiyo inahusika na kunakili kumbukumbu za kutuma na kupokea miamala.

Amesema amekuwa mwajiriwa wa Vodacom tangu Agosti 25, 2015 ma ana shahada uzamili masuala ya utawala katika ulinzi aliyoipata nchini Uingereza.

Amesema katika majukumu yake wateja wake wakubwa ni Jeshi la Polisi, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), mahakama na taasisi zingine kama Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Mamlaka ya Mapato (TRA) na tume za ushindani.

Wawenje ameileza mahakama kuwa amekuwa akishirikiana kutoa taarifa za uchunguzi kwa mujibu wa sheria.

Kusimamia ulinzi na mali za kampuni na kishirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama kutoa nyaraka zinapohitajika kwa mujibu wa sheria.

Katika shauri hilo la uhujumu uchumi namba 27, 2021 washitakiwa wengine ni Enock Mnkeni, Sylvester Nyegu, Jackson Macha na Nathan Msuya.

Washitakiwa hao wanakabiliwa na makosa matano la kwanza ambalo ni kuongoza genge la uhalifu na kosa la tano ambalo ni utakatishaji fedha linawakabili washitakiwa wote saba wanadaiwa kupata Sh90 milioni huku wakijua kupokea fedha hizo ni zao la kosa la vitendo vya rushwa.

Kosa la pili, tatu na nne Sabaya peke yake ameshitakiwa kwa makosa ya kujihusisha na rushwa ambapo anadaiwa kuchukua Sh90 milioni matumizi mabaya ya ofisi akiwa Mkuu wa Wilaya ya Hai.

Watuhumiwa hao wanatetewa na mawakili Moses Mahuna, Fauzia Mustapha, Edmund Ngemela na Fridolin Gwemelo.

Katika shauri hilo Jamuhuri inawakilishwa na wakili mwandamizi Ofmed mtenga na Felix Kwitukia na Wakili Neema Mbwana.
Shahidi huyo anaendelea kutoa ushahidi wake.

Soma gazeti la Mwananchi na mitandao yake kwa habari zaidi kujua amesema nini kuhusu Sabaya.

Chanzo: Mwananchi
tatizo sio kutoa ushahidi, tatizo ni kauli kuwa wao tigo wanadhamini mamlaka kuliko usiri wa taarifa za wateja
 
Terrorists usually are arrested with explosive devices!!! Mpaka sasa hakuna explosive device iliyoletwa mahakamani to show intent to commit a violent act!!
wajinga tu wale, Kingai utadhani hana ndugu, ndio shida ya ku-recruit watu kwenye sensitive positions ambao ni maskini kifikra kama Kinagi
 
Back
Top Bottom