Vodacom pia walipanda kizimbani kutoa ushahidi dhidi ya Sabaya katika kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili

Kwa nini unalazimisha wengine wa kubaliane na wewe?? Simama mwenyewe. Usitufokee
 
Shida ni kwamba kesi ya Mbowe ipo wazi kabisa kwamba ni ya kutengenezwa kulingana lakini ya Sabaya 100% bila hata ushahidi you can tell kwamba the guy alikua muuaji na muhujumu uchumi na gaidiai

Shida ni kwamba kesi ya Mbowe ipo wazi kabisa kwamba ni ya kutengenezwa kulingana lakini ya Sabaya 100% bila hata ushahidi you can tell kwamba the guy alikua muuaji na muhujumu uchumi na gaidi
Akili zile zile za chadema..wewe umeshasikia Sabaya kamuuwa na nani...hakuna sheria inaelekeza eti kwasababu yule anachukiwa na nyumbu ndio taarifa zake ziwekwe wazi na mitandao..ndio unachojaribu kuaminisha watu ila kwa maneno tofauti.Sheria inatoa haki sawa kwa mtu yeyote anayepelelezwa taarifa apewe officer wa police anayechunguzwa mtuhumiwa.

Na mbowe bora afungwe tu maana ushahidi wa jamhuru umeenyooka sana Kuliko hata ule wa Sabaya wa kuunga unga naa gundi. Kama hii kesi ni ya uwongo niamini kesi ya namna gani. Technologia aidanganyi bhana

Mnasumbua tu mahakana
 
Umeandika kwa hisia sana mkuu, naheshimu maoni yako na naamini yapo sahihi kulingana na perceptions zako, kwenye nyuzi kama hizi ni vizuri tu ukajifunza kuheshimu mawazo ya wengine hata kama yanapingana na kile unachokimini mwisho wa siku mahakama ndio mwamuzi wa mwisho kwenye hili suala, kwa hiyo tujipe muda 🤝
 
Tuletee mahojiano kamili wakati anaongozwa kutoa ushahidi wake...
Ulichoambatanisha hakitoi taarifa za kina. Unazidi kuifanya Vodacom ionekane ni bora kuliko tiGo.
 
Unawezaje kumlinganisha jambazi aliye tumia vibaya madaraka yake na kiongozi wa upinzani ambaye anabambikiwa kesi kisiasa!? Kwenye kesi ya Mbowe, kuna uhalifu gani ambao walalamikaji wameuonesha zaidi ya kusema alituma laki 5 kupitia Tigo? Hata Mimi nilituma milioni na laki 5 kwa mtu kupitia M Pesa jana, na siyo kosa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…