Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,814
- 8,118
Kule Arsenal huku Simba, we acha tu!Hahahaaa. Ila siku zote si wanakufurahisha mtani na leo pia furahi tu bwana.
Pole sana Mtani sababu mpaka lunch yako imeharibika kweli hali ilikuwa mbaya. Polee.
Si ndiyo, ubingwa bado upo rehani.Kipindi kama hiki ndio huwa tuna boronga Ubingwa bado sana aisee
Hahahaaa. Pole sana aiseeee.Kule Arsenal huku Simba, we acha tu!
Sio chembamba tu Hajar, ni kijasho khasaaa!Hahaaaa. Wamewatoa kijasho chembamba lol.
Kweli kabisa Mtani. Inabidi kuganga yajayo sasa.Hakika mtani.. Ni mpira ndo ulivyo tunajipanga kwa ajili ya Aprili 29.
Huko sina kabisa Stress, siku hizi nawaangalia tu. Brazil watakuja kunipinguza stress Mungu akitufikishaHahahaaa. Pole sana aiseeee.
Ila stress ziko sana huko Arsenal.
Hahahaaaa. Nimecheka sana lol.Sio chembamba tu Hajar, ni kijasho khasaaa!
Hahahaaaa. Tuombe uzima aiseee.Huko sina kabisa Stress, siku hizi nawaangalia tu. Brazil watakuja kunipinguza stress Mungu akitufikisha
Hapo umesema dadieHahahaaaa. Nimecheka sana lol.
Siku zote Ubingwa hauwezi kuja kirahisi lazima kupambana Mtani.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hajar leo umehamia Lipuli! Hahahaa, nakuonea huruma watakavyokuchania mkeka
Yaani pengo lake lilionekana kabisa Mtani. Alikuwa na shida gani kwani leo?Leo kukosekana kwa Mkude kuliwapa nafasi Lipuli FC. By the way yote ndo matokea ya mpira bado tupo kileleni.. OKW BOBAN SUNZU
Kadi 3 za njao,kwa mtu kama yeye kulimwa kadi leo si ajabu,angeikosa YangaYaani pengo lake lilionekana kabisa Mtani. Alikuwa na shida gani kwani leo?