Vodacom Premier League Lipuli FC 1-1 Simba SC, Uwanja wa Samora Mkoani Iringa

Vodacom Premier League Lipuli FC 1-1 Simba SC, Uwanja wa Samora Mkoani Iringa

Mavugo, aongeze mazoezi ni mzito, hana shabaha ya goli, hakabi, hana spidi, hayuko makini golini, anapapara golini, hajiamini hana utulivu golini, na anasubiri mpira umfikie badala ya kuhangaika kuutafuta.
Zaidi ni Mchezaji mzuri sana kama atafanya bidii ya mazoezi na kujirekebisha hayo makosa yake.
Adam Salamba aliyeifungia goli Lipuli fc ni mshambuliaji mzuri sana.
Simba wamsajiri Salamba atawasaidia misimu ijayo, bado ni kijana mdogo sana na tatufaa kwa misimu mingi.
Zaidi naipongeza Simba sc kwa kujituma hadi kurudisha goli jana na Lipuli fc.
 
Nimeamini Simba ni big brand ikidroo watu wanatrend sanaaa kuliko ndala akishinda povu ruksa
 
Mavugo, aongeze mazoezi ni mzito, hana shabaha ya goli, hakabi, hana spidi, hayuko makini golini, anapapara golini, hajiamini hana utulivu golini, na anasubiri mpira umfikie badala ya kuhangaika kuutafuta.
Zaidi ni Mchezaji mzuri sana kama atafanya bidii ya mazoezi na kujirekebisha hayo makosa yake.
Adam Salamba aliyeifungia goli Lipuli fc ni mshambuliaji mzuri sana.
Simba wamsajiri Salamba atawasaidia misimu ijayo, bado ni kijana mdogo sana na tatufaa kwa misimu mingi.
Zaidi naipongeza Simba sc kwa kujituma hadi kurudisha goli jana na Lipuli fc.
Kwa wakati huu Mavugo hakupaswa kuchezea Simba kwa jinsi kiwango chake kilivyokua cha chini na ukizingatia yeye ni professional player
 
Back
Top Bottom