Vodacom Premier League Lipuli FC 1-1 Simba SC, Uwanja wa Samora Mkoani Iringa

Hivi Bench la ufundi la Simba, plz toeni mlipili na imarisheni kiungo hapo kati. Kwani Mkude yuko wapi?
 
66' Goooooaaal Goooooaaal Goooooaaal... Laudt Mavugo anaandika bao la kusawazisha kwa upande wa Simba SC.

Lipuli FC 1-1 Simba SC
 
72' Mchezo wa VPL.. Mchezaji wa Lipuli FC Seif anatolewa nje baada ya kupata rabsha

Lipuli FC 1-1 Simba SC uwanja wa Samora mkoani Iringa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…