Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Patashika ya Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara (VPL,) kuendelea leo katika uwanja wa Taifa, jijini Dar es salaam, ambapo vinara wa ligi hiyo Simba SC kuwakaribisha Chama la Wana, Stand United kutoka Shinyanga.
Ni Mchezo mkali wa kukata na shoka. Je Simba SC wataendeleza vimbi la ushindi? Au Stand United watavunja mwiko wa vinara hao kutopoteza mchezo wowote kwenye ligi kuu ya VPL?
Kumbuka patashika hii itakuwa mubashara na Azam Sports 2 na upande wa redio TBC Taifa itapeperusha matangazo hayo kuanzia saa 10: 00 jioni. Usikose ukaambiwa kuwa nasi hadi mwisho.
Vikosi vya mchezo wa leo kwa pande zote mbili, Simba SC Vs Stand United hivi hapa.
=>00' Naam mpira umeanza hapa uwanja wa Taifa.
Simba SC 0-0 Stand United
07' Goooooooooaaal Asante Kwasiii anaindikia Simba bao la kwanza baada ya golikipa kutema shuti la Mavugo
Simba SC 1-0 Stand United
15 ' Simba wako mbele ya goli moja dhidi ya Stand United.
Goooooooooaaal. Mavugo anaandika bao la pili. Kazi mzuri kutoka kwa Shomari Kapombe
Stand United toka mwanzo wameanza kujilinda hivyo kutoa fursa Simba kutawala mchezo huu
35' Mavugo anajaribu kuwatoka mabeki wa Simba. Lakini ni Offside.
Stand United wanashambulia lango la Simba hapa dakika hizi..lolote linaweza kutokea
36 ' Gooooaaal.. Stand United wanapata bao kusawazisha kupitia Kwa Tariq Seif baada gonga safi kwa wachezaji wa Stend United.
86' Konaaaaa Gooooaaal, ilipigwa kona na Lulambo na kwenda moja kwa moja na kuandika bao la pili upande wa Stand United
Simba SC 2-2 Stand United
45' Za kipindi cha kwanza za mchezo wa VPL zimekamilika hapa uwanja wa Taifa ambapo. Timu zote zikitoshana nguvu kwa magoli mawili kwa mawili. Simba SC 2-2 Stand United
=>Mpira umeanza 45 ' za kipindi cha pili uwanja wa Taifa Simba SC dhidi ya Stand United. Ambapo Simba SC wamemtoa Mavugo na nafasi yake kaingia Luizio
56' Kichuyaaaaaaa anapiga shuti na golikipa anaokoa. Ilikuwa nafasi nzuri kwa Simba SC
63' Goooooooooaaal.. Gooooaaal Simba wanaandika bao la tatu baada ya mpira wa kona uliokolewa na golikipa kumkuta Nicholas Gyan na kupiga shuti kali na kutinga wavuni. Simba SC 3-2 Stand United
66' Goooooooooaaal. Stand wanaandika bao la tatu kupitia Kwa Blaise shuti kali baada ya mpira uliokuwa ukielekea lango la Simba, mabeki kushindwa kuokoa hatari hiyo
Simba SC 3-3 Stand United
74' Simba wanafanya mabadiliko. Anaingia Kazimoto na anatoka Mzamir Yasin
Pamoja na Simba kutawala mchezo bado mashambulizi ni makali kwa pande zote mbili.. Kuelekea kumalizika kwa mtanange huu
89 ' uwanja wa Taifa Dar es salaam. Simba SC 3-3 Stand United
90+4' za mchezo wa mpira wa ligi kuu VPL. Simba SC 3-3 Stand United.
=> Naam dakika 90' za mtanange wa soka wa Vodacom Premier League kati Simba SC dhidi ya Stand United zimekwisha uwanja wa Taifa. Ambapo timu zote zimetoshana nguvu kwa kila timu kupata mabao matatu.
Simba SC 3-3 Stand United.
==>Asanteniiiii sana wakuu wako.... Ghazwat
Ni Mchezo mkali wa kukata na shoka. Je Simba SC wataendeleza vimbi la ushindi? Au Stand United watavunja mwiko wa vinara hao kutopoteza mchezo wowote kwenye ligi kuu ya VPL?
Kumbuka patashika hii itakuwa mubashara na Azam Sports 2 na upande wa redio TBC Taifa itapeperusha matangazo hayo kuanzia saa 10: 00 jioni. Usikose ukaambiwa kuwa nasi hadi mwisho.
Vikosi vya mchezo wa leo kwa pande zote mbili, Simba SC Vs Stand United hivi hapa.
=>00' Naam mpira umeanza hapa uwanja wa Taifa.
Simba SC 0-0 Stand United
07' Goooooooooaaal Asante Kwasiii anaindikia Simba bao la kwanza baada ya golikipa kutema shuti la Mavugo
Simba SC 1-0 Stand United
15 ' Simba wako mbele ya goli moja dhidi ya Stand United.
Goooooooooaaal. Mavugo anaandika bao la pili. Kazi mzuri kutoka kwa Shomari Kapombe
Stand United toka mwanzo wameanza kujilinda hivyo kutoa fursa Simba kutawala mchezo huu
35' Mavugo anajaribu kuwatoka mabeki wa Simba. Lakini ni Offside.
Stand United wanashambulia lango la Simba hapa dakika hizi..lolote linaweza kutokea
36 ' Gooooaaal.. Stand United wanapata bao kusawazisha kupitia Kwa Tariq Seif baada gonga safi kwa wachezaji wa Stend United.
86' Konaaaaa Gooooaaal, ilipigwa kona na Lulambo na kwenda moja kwa moja na kuandika bao la pili upande wa Stand United
Simba SC 2-2 Stand United
45' Za kipindi cha kwanza za mchezo wa VPL zimekamilika hapa uwanja wa Taifa ambapo. Timu zote zikitoshana nguvu kwa magoli mawili kwa mawili. Simba SC 2-2 Stand United
=>Mpira umeanza 45 ' za kipindi cha pili uwanja wa Taifa Simba SC dhidi ya Stand United. Ambapo Simba SC wamemtoa Mavugo na nafasi yake kaingia Luizio
56' Kichuyaaaaaaa anapiga shuti na golikipa anaokoa. Ilikuwa nafasi nzuri kwa Simba SC
63' Goooooooooaaal.. Gooooaaal Simba wanaandika bao la tatu baada ya mpira wa kona uliokolewa na golikipa kumkuta Nicholas Gyan na kupiga shuti kali na kutinga wavuni. Simba SC 3-2 Stand United
66' Goooooooooaaal. Stand wanaandika bao la tatu kupitia Kwa Blaise shuti kali baada ya mpira uliokuwa ukielekea lango la Simba, mabeki kushindwa kuokoa hatari hiyo
Simba SC 3-3 Stand United
74' Simba wanafanya mabadiliko. Anaingia Kazimoto na anatoka Mzamir Yasin
Pamoja na Simba kutawala mchezo bado mashambulizi ni makali kwa pande zote mbili.. Kuelekea kumalizika kwa mtanange huu
89 ' uwanja wa Taifa Dar es salaam. Simba SC 3-3 Stand United
90+4' za mchezo wa mpira wa ligi kuu VPL. Simba SC 3-3 Stand United.
=> Naam dakika 90' za mtanange wa soka wa Vodacom Premier League kati Simba SC dhidi ya Stand United zimekwisha uwanja wa Taifa. Ambapo timu zote zimetoshana nguvu kwa kila timu kupata mabao matatu.
Simba SC 3-3 Stand United.
==>Asanteniiiii sana wakuu wako.... Ghazwat