Yaani huku ndio saizi yao. TehTaratibu wanarudi walikozoea
Hahhaaa. Utani muhimu Mtani tukifurahi hivi ndio kuongeza siku kwenyewe.Hapana kawaida tu. Ndo soka ndo maana sikuacha kuleta Updates. emmyta amecharua na kafurahi sana lakini ndo utani. Ila lile swali halikuwa mahala pake.
Etiiiiiii unaweza kurudia haya jombaaaHizi timu nyingine ni size ya Yanga tu. Kuzikutanisha na Mnyama ni kutafuta kuzidhalilisha halafu simba ionekane haina adabu
nipo hata usiwazee...leo mtaani kwetu kimyaaaHahahaaa. Niliona kimya ikabidi niwaite aisee.
Etiiiiiii unaweza kurudia haya jombaaaHizi timu nyingine ni size ya Yanga tu. Kuzikutanisha na Mnyama ni kutafuta kuzidhalilisha halafu simba ionekane haina adabu
1.6 hivi au kinakaribia 2BKiliongezeka thamani baada ya kumsajili Kwasi na sasa ni zaidi ya hapo
Kabisaaa. Walio wengi wanapita kimya kimya lol.Hahaha swahiba nipo yaani hapa raha tu
wanatia huruma maskini daaahYaani huku ndio saizi yao. Teh
Dooh! umetisha sana rafiki sikutegemea kabisa kama unaweza kua hadi huku..Aiseee. Naipenda sana hasa ikija hizi mambo za watani unitoi mpaka kieleweke.
Kwani we rafiki upo upande gani wa shilingi? [emoji12]
Huyo jombaa akirudia nitag Mkuu. [emoji12]Etiiiiiii unaweza kurudia haya jombaaa
Najua hilo. Natamani weledi ungeruhusu nikuone. Maana sipati picha furaha yako ikojeHahhaaa. Utani muhimu Mtani tukifurahi hivi ndio kuongeza siku kwenyewe.
Ila nina furaha sana Mtani.
Hahahahahaha siku yangu Leo nzuri........... Ntainjoi vizuri huku visiwani lolKabisaaa. Leo mambo ni motooo.
Natamani leo ingekuwa jumapili kesho ikawa jumatatu yaani Ofisini ingekuwa raha tupu yaani.
Hahahaaaa. Wacha hizo rafiki lol.Dooh! umetisha sana rafiki sikutegemea kabisa kama unaweza kua hadi huku..
Kwenye hii shilingi rafiki mimi nipo upande wa pembeni [emoji12] [emoji12]
Hahahaha King Ngwaba zimbaa yako imeanza kuususia ubingwa
2 Bilioni siunajua mambo ya mfumo wa share1.6 hivi au kinakaribia 2B
Hahahaaa. Yaani kila likiingia stand anachomoa lol.Hahahahahaha siku yangu Leo nzuri........... Ntainjoi vizuri huku visiwani lol
Walikuwa wanapiga mahesabu ya 4GKabisaaa. Walio wengi wanapita kimya kimya lol.
Walizidi sana tambo Swahiba.
Raha sana kwa kweli wamekatwaaaaaaaHahahaaa. Yaani kila likiingia stand anachomoa lol.
Ulikuwa Mwendo wa funga ni komboe. Hahahaaaa.