Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado upo eeehh!Stand United piga hao Mikia/Wamatopeni SC
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]simba timu piga hao stand...siipendi simba ila nimebeti so sinabudi uishangilia...simba pigaaaa hao mbuzi
Mmh. Pachaa. [emoji17] [emoji17].Simba kama kama kawa kama dawa, tunategemea muendelee kutupa rahaaaaaaaaaaaaaaa
Soma ubao mkuu.Kumbe Mikia SC bila OKWI & BOCCO is equal to zero
Pacha nakupenda huko acha kabisaaaa, tena kesho navaa kajezi kanguuMmh. Pachaa. [emoji17] [emoji17].
Kwa nini ukawa huko lakini?.
Ila usijali pacha endelea kupata raha.
Au itakuwa ndio wamewekwa reserved kwa ajili ya mechi na wale waarabu. Kocha ameangalia ameona timu ya stendi ni level za akina Gyan na Mavugo[emoji23] [emoji23]Okwi na Bocco.. Kocha Pierre kasema hawako vizuri kwa mchezo wa leo.
tayari la pili 2-0Mayanga anapewa kadi ya njano. Kwa upande wa Stand United
Hahaaa. Haya Pacha jiachie.Pacha nakupenda huko acha kabisaaaa, tena kesho navaa kajezi kanguu