Vodacom Premier League, Simba SC 3-3 Stand United Uwanja wa Taifa, Dar Es Salaam

Vodacom Premier League, Simba SC 3-3 Stand United Uwanja wa Taifa, Dar Es Salaam

Mavugo anajaribu kumpita Ally. Lakini Ally anamfanyia Faulo na kupewa kadi ya njano
 
41 ' Kona Goooooooooaaal inakwenda moja kwa moja na kuandika bao la pili upande wa Stand United

Simba SC 2-2 Stand United
 
Goo gooo lalaaaa Offside upande wa Simba
 
simba anabebaga kombe? hiyo mikono ya kushikia kombe katoa wapi
 
Stand United wameanza kujiamini na kuacha kujilinda hapa uwanja wa Taifa
 
Back
Top Bottom