Azam wanapaki. Kama Azam wanafanyiwa hivi Yanga itakuwajeSimba hili soka sio la nchi hii..ni zaidi ya Barcelona(au Barcelona imechoka?) aisee..burudani ya kufa mtu..
Yaani itakua balaa hiyo tarehe 8 tutaona burudani safi sana toka kwa mnyama .Azam wanapaki. Kama Azam wanafanyiwa hivi Yanga itakuwaje