Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Patashika ya ligi kuu Tanzania Kuendelea kupigwa leo January 16, 2020 kunako Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza ambapo Mbao FC wakiwa nyumbani wanawakaribisha Mabingwa wa Nchi Simba SC.
Mchezo unatarajiwa kuwa mkali na wa vuta nikuvute kwa muda wote wa mchezo na hasa kila timu kuhitaji alama tatu muhimu ili kujiweka sawa kwenye msimamo wa ligi kuu ya Tanzania VPL.
Kumbuka mchezo utaanza saa 10:00 jioni..Usikose Ukaambiwa
•••••••========•••••
Mchezo wa VPL kati ya Mbao FC na Simba SC umekwisha uwanja wa CCM Kirumba ambapo Simba wameibuka na ushindi wa mabao mawili kwa moja dhidi ya Mbao FC
Simba SC ndo walikuwa wa kwanza kupata bao kunako dakika ya 42' likifungwa na Hassan Dilunga, na Jonas Mkude dakika 47' huku lile la Mbao FC likifungwa na Wazir Junior dakika ya 53'
Kwa matokeo hayo Simba wamejikita kileleni wakikusanya alama 38. wakiwa wamecheza michezo 15.
FT: Mbao FC [emoji460] 1- [emoji460][emoji460] 2 Simba SC
...Ghazwat
Mchezo unatarajiwa kuwa mkali na wa vuta nikuvute kwa muda wote wa mchezo na hasa kila timu kuhitaji alama tatu muhimu ili kujiweka sawa kwenye msimamo wa ligi kuu ya Tanzania VPL.
Kumbuka mchezo utaanza saa 10:00 jioni..Usikose Ukaambiwa
•••••••========•••••
Mchezo wa VPL kati ya Mbao FC na Simba SC umekwisha uwanja wa CCM Kirumba ambapo Simba wameibuka na ushindi wa mabao mawili kwa moja dhidi ya Mbao FC
Simba SC ndo walikuwa wa kwanza kupata bao kunako dakika ya 42' likifungwa na Hassan Dilunga, na Jonas Mkude dakika 47' huku lile la Mbao FC likifungwa na Wazir Junior dakika ya 53'
Kwa matokeo hayo Simba wamejikita kileleni wakikusanya alama 38. wakiwa wamecheza michezo 15.
FT: Mbao FC [emoji460] 1- [emoji460][emoji460] 2 Simba SC
...Ghazwat