Vodacom Premier League 'VPL' Mbao FC dhidi ya Simba SC, Uwanja wa CCM Kirumba

Anapigaaaa Boccooooo, golikipa anaunyaka bila wasiwasi, ilikuwa hatari kwa Mbao FC

Mbao FC 0-0 Simba SC
 
Mwamuzi anamzawadia Mkude kadi ya njano kwa mchezo
 
45+3' kuelekea kuwa mapumziko Simba wakiwa mbele kwa bao moja

Naaaaaaam mpira ni mapumziko huku Simba wakitangulia kwa bao safi lililofungwa na Dilunga Hassan

Mbao FC 0-1 Simba SC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…