Vodacom Premier League 'VPL' Mbao FC dhidi ya Simba SC, Uwanja wa CCM Kirumba

Goooooooooooooooooooaaal, Wazir Junior wa Mbao FC anaipatia timu yake bao la kwanza baada ya mabeki wa simba kushindwa kuondosha hatari

Mbao FC [emoji460] 1- [emoji460][emoji460] 2 Simba SC
 
alafu yule 'fala' aliyekamatwa na na li-hirizi mbona afungi hata kwa offside? au ameenda ku-renew?
 
60' Timu zote zinashambulia kwa zamu ambapo simba wakizidi sana kulifikia lango la Mbao

..Nahodha wa Mbao FC anaonyeshwa kadi ya njano kwa kumchezea vibaya Dilunga
 
65' za kipindi cha pili ambapo Simba wapo mbele ya mabao mawili

Mbao FC [emoji460] 1- [emoji460][emoji460] 2 Simba SC
 
rushwa, rushwa,rushwa, aibu sana simba wanashinda kwa kutegemea rushwa kuwafurahisha mashabiki wao, hii TFF ni kama tawi la simba.
 
Mchezaji Shomari Kapombe wa Simba SC anaonyeshwa kadi ya njano..!

Huku Emmanuel wa Mbao FC naye akionyeshwa kadi ya njano naye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…