Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Mungu ibariki Simba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo wapo 2-2?Goooooooooooooooooooaaal, Wazir Junior wa Mbao FC anasawazisha baada ya mabeki wa simba kushindwa kuondosha hatari
Mbao FC [emoji460] 1- [emoji460][emoji460] 2 Simba SC
rushwa, rushwa,rushwa, aibu sana simba wanashinda kwa kutegemea rushwa kuwafurahisha mashabiki wao, hii TFF ni kama tawi la simba.
Yanga jana ilishindwa kujiangusha kupoteza muda hadi wakaliwa 3simba wanajiangusha kupoteza muda, halafu ndio wanataka kushindana kimataifa na tp mazembe? hahaha ujinga huu hawa simba ni wa hapa hapa hata GOR MAHIA hawawezi kuwafunga.
simba wanajiangusha kupoteza muda, halafu ndio wanataka kushindana kimataifa na tp mazembe? hahaha ujinga huu hawa simba ni wa hapa hapa hata GOR MAHIA hawawezi kuwafunga.
Kama Yanga walivyomtuliza Kagera 3-0!simba wanajiangusha kupoteza muda, halafu ndio wanataka kushindana kimataifa na tp mazembe? hahaha ujinga huu hawa simba ni wa hapa hapa hata GOR MAHIA hawawezi kuwafunga.