Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,482
- 27,182
Ghazwat mwaka huuu Mooo Awards kwenye Kipengele cha amsha Amsha za Mitandaoni lazima uingie kwenye chekeche. Yaaani mpaka sasa Umeleta Live Game zote za VPL. Nakusihi ujitahidi uendelee hivi hivi ulete game nyingine zote 14 zilizosalia utakuwa umekula Bingo mkuuu, kaza buti maaana Miaka ya Nyuma OKWBOBANSUNZU ndiye alikuwa kinara lkn kwa sasa, Ghazwat ni noma.
Linapokuja suala la SIMBA SC huyu sembo ndiye aliyekuwa kiboko yao hapa JF lakini sijui amefikwa na nini shabiki huyu wa Simba kindakindaki.
Yani akileta Uzi wa Simba basi mbwembwe zake tu unaweza ukasema Simba wanacheza Ligi Kuu ya Uengereza.