Wako vizuri Sana hawa jamaa ni hatari
Kipa amehongwa kale kagari alikokakataa kipa wa yanga.Simba wanapata bao hapa, mk14 anaweka mpira kambani kwa mkwaju wa penalty baada ya Boco kuchweza madhambi na kipa Tinoco wa kagera sugar
Hao watakuwa ni vyura V.A.R