90+ 3'
kuelekea kumalizika kwa mchezo huu wa VPL
Mwalyanzi anapiga ndefu kumtafuta Awesu, lakini Simba wanaunasa kwake Wawa, anasambaza pasi kwa Chama, kwake Kahata, kwake Kapombe, mpira unachezwa eneo la kati, unamkuta Shiboub...!
Naaaaaaaaaaaaaaam mpira umekwishaaaaaa Simba wakiibuka na ushindi wa bao moja bila majibu dhidi ya Kagera Sugar
Bao likiwekwa kimiani na Maddie Kagere dakika 61' kwa mkwaju wa penati baada ya Nahodha John Bocco Kuangushwa eneo la hatari
VPL, FT: Simba SC 1- 0 Kagera Sugar
Wenu kutoka Team JF Mnyama Ghazwat....