Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Kuelekea kulisaka taji la Ligi Kuu Tanzania Vodacom Premier League VPL, mabingwa watetezi Simba SC, Mnyama Mkali Mwituni, leo Alhamisi Novemba 7, 2019 anaingia kwenye dimba la uwanja wa Uhuru kukipiga na Wajelajela Tanzania Prisons.
Mchezo huu unatarajiwa kuwa mkali na wa vuta nikuvute kwa muda wote wa dakika tisini hasa ukizingatia kwamba Simba SC anaingia kwa nia moja tu ya kuhakikisha anakusanya alama tatu muhimu ili kuendelea kujiimarisha kileleni mwa msimamo wa VPL.
Je Tanzania Prisons watakubali kuachia alama tatu mbele ya Mnyama Mkali Simba, au Simba SC ataendelea kuonyesha kuwa yeye ni mwamba wa soka Tanzania?
Usikose Ukaambiwa...Kuanzia saa 10:00 Jioni.
•••Kulitaka Mwana..Kulipewa Mwana..NguvuMoja
Mchezo huu unatarajiwa kuwa mkali na wa vuta nikuvute kwa muda wote wa dakika tisini hasa ukizingatia kwamba Simba SC anaingia kwa nia moja tu ya kuhakikisha anakusanya alama tatu muhimu ili kuendelea kujiimarisha kileleni mwa msimamo wa VPL.
Je Tanzania Prisons watakubali kuachia alama tatu mbele ya Mnyama Mkali Simba, au Simba SC ataendelea kuonyesha kuwa yeye ni mwamba wa soka Tanzania?
Usikose Ukaambiwa...Kuanzia saa 10:00 Jioni.
•••Kulitaka Mwana..Kulipewa Mwana..NguvuMoja