Vodacom Premier League 'VPL' Simba SC dhidi ya Tanzania Prisons Uwanja wa Uhuru

Kagere alikuwa hana msaidizi.
Boko majeruhi.
Miraji majeruhi.
Hivi Aussein yeye hafukuzwi, mbona timu inacheza legelege sana na hakuna shida ya Chakula.
 
Ili yatusaidie nini? Hakuna anayefuatilia ya Zahera, kinacho endelea ni watu kutoa mitazamo yao kuhusu kufukuzwa kwa Zahera kwa sababu ndio Current issue, baada ya wiki watu wanasahau maisha yanaendelea. Ni sawa na ninyi ikitokea leo Ausiems kama atafukuzwa lazima mtajadili tu. Tusidanganyane hapa
Endeleeni kufuatilia ya Zahera tuu
 
kwa kweli simba ni genge la matapeli yaliyo kubuhu kazi yao kutuharibia football letu Tz, ona lile jizi lingine yaani limepewa dhamana jana tuu tena kimizengwe mizengwe leo hii lipo jukwaani likishuhudia litim lake la ovyo ovyo likikoswa koswa
 
Yanga hatuwezi kukesha kujadili mambo ya Mbumbumbu bint Bi Hindu. Tunawajua jinsi mlivyo, matatizo ya Manji mlifuatilia mpaka mkasahau ya kwenu,lakini Sisi wala hatukuwa na muda na swala la MO
 
kwa kweli simba ni genge la matapeli yaliyo kubuhu kazi yao kutuharibia football letu Tz, ona lile jizi lingine yaani limepewa dhamana jana tuu tena kimizengwe mizengwe leo hii lipo jukwaani likishuhudia litim lake la ovyo ovyo likikoswa koswa
Kunywa maji utulie wewe, unaonekana una hasira sana.
Huu ni mpira
Simba nguvu moja
 
Mwadui walicheza hivihivi kama wanavyocheza Prisons leo na wakafanikiwa Kocha wa Simba hana Plan B kwa timu inayocheza Defensive Game.
Nimewasikia wachambuzi wa Azam Sport wamesema yafuatayo;
a) kocha wa Simba huwa hafanyi research kuhusu timu anayocheza nayo ubora wao ni upi na yeye achezeje, yeye anafanya rotation zake tu bila kujua hii ni mechi gani. Na hii inathibitishwa na kauli yake baada ya mchezo kuwa Prison walidefend na kufanya counter hivyo ikawa vigumu kwa Simba kucheza.
b) Kocha wa Prison alijua Simba wanachezaje na yeye acheze vipi
c) Mchezaji kama Miraji Athumani anafanya vizuri sana anapoingia kucheza kuliko wachezaji wengi ambao kocha amewafanya ni regular players, na hivyo inamchanganya anapokuwa anamiweka benchi au kumuweka kwa kipindi kifupi.
d) Upangaji wake wa timu na subs ni mgogoro, leo kamtoa Ajib ambae ni striker aliyekuwa anatakiwa kusaidiana na Kagere, amemuacha Mzamiru na Fragha kwenye game tough.
Kiukweli hata mimi simuelewi huyu kocha wetu, ni wa mpira au tuliingia chaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…