Vodacom Premier League 'VPL' Simba SC dhidi ya Tanzania Prisons Uwanja wa Uhuru

NGO ma nzito kwa simba.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Yaani siku zinavyozidi kusonga mjini kunakuwa tulivu kabisa.

Hivi Mkuu umewaona wapi hawa OKW BOBAN SUNZU na King Ngwaba . Wanajuaga kuota bana yaani vile vimechi wanavyojua wanashinda ndio utawaona.

Ila hizi Konki wanakimbia kabisa. πŸ˜€πŸ˜€
 

Bado sijarudi kutoka Misri nilikoenda kuishangilia Timu yangu ya Pyramids dhidi ya Yanga [emoji23] [emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…