Griseofulvin
JF-Expert Member
- Sep 15, 2016
- 1,012
- 1,995
Watu watapigwa mkono mkuu kwa hiki kikosi [emoji109] weka mbali na watotoHiki ndicho kikosi cha tarehe name mwezi wa tatu 2020 dhidi ya Yanga Yangu.
Yaani hapo ni kumtoa Boko nankumweka Kagere namba 9
Na namba Saba aanze Kanda.
Tunaomba kusiwe na Majeruhi na kikosi kiwe hivi.
1. Manula
2. Kapombe
3. Hussein
4. Nyoni
5. Wawa Sultani Jevdet
6. Mkude
7. Kanda
8. Chama
9. Kagere
10. Luiz
11. Kahata.
Sub.
Dilunga 7
Mzamilu 8
Fraga 6
Kakolanya 1
Mlipili 4
Gadieli 3
Boko 9
Rashidi Juma 11
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa!! Haya bana tusubirie jumapili si mbali.Labda kama mtatembeza muamala mpate japo penati ya kuchomekea ili liwe angalau goli la kufutia machozi maana mbili au tatu zinawahusu
Hao watu hatujacheza nao ? mbona hazikuisha Half time hizo mechi?Huko kwenye CAF utakuwa unawaonea bure Simba niliangalia game ya raja Casablanca vs Tp mazembe robo fainal pamoja na Zamalek vs Esperance namna walivyokuwa wanashindana ni next level mpira ulikuwa una kasi mda wote watu wanapishana utazani wanacheza tennis hawakupi hata nafasi ya kufanya mbwembwe na kwa aina ya beki za Simba wazito game inaisha half time.
Yaani natandika mkeka wangu na hauchaniki nakwambia ShadeeyaHahahaaa!! Haya bana tusubirie jumapili si mbali.
zinatabirika vizuri tu , ushindi wako ni suluhu tu na sii vinginevyo , na hiyo suluhu ujikaze kweli kweliHizi game tuachage kuzitabiri Ses kwani huwa mwisho wa siku watu wanarudi na maumivu tu na wengine hadi kuzimia kwa kudhania game ya Yanga na Simba zinatabirika.
Naamini kwa matokeo ya jana hujachukia. 😎Hao watu hatujacheza nao ? mbona hazikuisha Half time hizo mechi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti eee? Haya naomba utabiri matokeo yatakuwaje hiyo tarehe 08?zinatabirika vizuri tu , ushindi wako ni suluhu tu na sii vinginevyo , na hiyo suluhu ujikaze kweli kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
simba 2-0 yangaEti eee? Haya naomba utabiri matokeo yatakuwaje hiyo tarehe 08?
Yanga 2 - Simba 1.
Kumekucha ujue Shadeeya, haya amka maana ndoto yako hiyo sio ya kweliYanga 2 - Simba 1.
Duuh!! Hivyo unataka niseme mutashinda. Lol.Kumekucha ujue Shadeeya, haya amka maana ndoto yako hiyo sio ya kweli
Kama ni ku bet usithubutu kabisa maana mkeka wako utachanika mapeeema. Si unajua tena siku hiyo kiungo Lunyasi ndio atakishika? Kwa hio hakutakua na cha Morison mtembea juu ya mpira wala nani sijui.Duuh!! Hivyo unataka niseme mutashinda. Lol.
Hapana hiyooo.
Hahahaa. Umefanya nicheke. LolKama ni ku bet usithubutu kabisa maana mkeka wako utachanika mapeeema. Si unajua tena siku hiyo kiungo Lunyasi ndio atakishika? Kwa hio hakutakua na cha Morison mtembea juu ya mpira wala nani sijui.
Katikati ya dimba kutakua na Mwamba wa Lusaka, Kahata, Kanda, Konde boy na Mkude. Yaani sioni mtapumulia wapi kwakweli
Cheka mamii, cheka, kwani siku ya kununa haipo mbali panapo majaaliwa yake Mola🤣🤣🤣Hahahaa. Umefanya nicheke. Lol
hamna hamna unakula 3 saafiEti eee? Haya naomba utabiri matokeo yatakuwaje hiyo tarehe 08?
hata tukiwa pungufu wachezaji wawili hampati hayo matokeoYanga 2 - Simba 1.
Kwani hujui zile 2 Manula mlipa Harrier tako tako😂😂😂Kwani manula alifanya upuuzi upi?
Heeee!! Tatu hii hii ninayoijua. Duuh!!
Let's wait and see. Muda utazungumza yote na hapo ndio tutaanza kuzisikia lawama za kila aina.
nasema hivi , hata tukiwa pungufu wachezaji wawili hampati hayo matokeoLet's wait and see. Muda utazungumza yote na hapo ndio tutaanza kuzisikia lawama za kila aina.