Griseofulvin
JF-Expert Member
- Sep 15, 2016
- 1,012
- 1,995
Watu watapigwa mkono mkuu kwa hiki kikosi [emoji109] weka mbali na watotoHiki ndicho kikosi cha tarehe name mwezi wa tatu 2020 dhidi ya Yanga Yangu.
Yaani hapo ni kumtoa Boko nankumweka Kagere namba 9
Na namba Saba aanze Kanda.
Tunaomba kusiwe na Majeruhi na kikosi kiwe hivi.
1. Manula
2. Kapombe
3. Hussein
4. Nyoni
5. Wawa Sultani Jevdet
6. Mkude
7. Kanda
8. Chama
9. Kagere
10. Luiz
11. Kahata.
Sub.
Dilunga 7
Mzamilu 8
Fraga 6
Kakolanya 1
Mlipili 4
Gadieli 3
Boko 9
Rashidi Juma 11
Sent using Jamii Forums mobile app