We ng'an'ania tu kuwa mnashinda.nasema hivi , hata tukiwa pungufu wachezaji wawili hampati hayo matokeo
Sent using Jamii Forums mobile app
dua la kuku hilo, kifaranga ataliwa tuWe ng'an'ania tu kuwa mnashinda.
Mwisho wa siku usije zimia tu hasa pale haya unayojiaminisha yakija kinyume.
Hahahaaa. Lol.
Huo uchokozi huo, kama Jery nani yulee🤣🤣🤣View attachment 1374345
Chukua hiyo 🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Mnakamoja tuView attachment 1374345
Chukua hiyo [emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Luis MuiqssonHuo uchokozi huo, kama Jery nani yulee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wacha weee!!Mnakamoja tu
Tuna
Luis Muiqsson
Deogratius Kanda
Chama
hapo hapo tuna
Kahata
Shiboub
Dilunga
hilo ni eneo letu la mbele
hapo hapo
Mzamiru karudi
tuna galasa lenu pia Ajibu
huko kwenu ni Papy Kabamba peke yake, asipokuwepo huku hata Faru Fc itawasumbua
na tunapita nae, yeye mwenyewe ndoto yake ni kucheza na kina Chama
Sent using Jamii Forums mobile app
basi tutawawekea kina Rashid Juma na Miraj Athuman na majeruh yake hivyo hivyo..au nao tuwasahau pia ??Wacha weee!!
Umejua kuwapangilia mwenyewe japo nikwambie kwenye derby ya Yanga na Simba jipange kuwasahau hao. [emoji41]
Muhimu uzima mtani. Mungu akijaalia tuifikeTuombe uzima panapo majaaliwa hapo ndio tutazijua mbivu na mbichi.
Pia niseme tu jiandae kisaikolojia. 💃
Yah!! Hakika usemalo Mtani.Muhimu uzima mtani. Mungu akijaalia tuifike
Hahahaaa. lolbasi tutawawekea kina Rashid Juma na Miraj Athuman na majeruh yake hivyo hivyo..au nao tuwasahau pia ??
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona wewe ulianza kupenda team kwanza kuliko mpira wenyewe magoal aliyofungwa manula kipa yoyote barani ulaya anafungwa Mapinduzi balama alipiga shuti Kali na lenye kipimo liloenda angle 90 hata de gea magoal Kama haya anafungwa Bora ungemsifia mpijaji kuliko kumlaumu manula.Goal la pili Hussein shabalala amejifunga sasa hapo kosa la manula lipo wapi?Kwani hujui zile 2 Manula mlipa Harrier tako tako😂😂😂
Hapo umecheza na Tp mazembe pekee ambaye alimpiga Simba 4 lumbumbashiHao watu hatujacheza nao ? mbona hazikuisha Half time hizo mechi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfano mzuri huyo luiz a.k.a kondeboy wanaompamba amekosa number kwenye first eleven ya mamelody ya sa ndo wakaamua wamruhusu aondoke ndo akaenda Simba hapo inaonesha namna gani wenzetu walivyo kwenye level ya juu.Sawa Simba anashinda je anashinda dhidi ya Nani? Na hao wachezaji wanaowapamba Kama chama, deo Kanda wanacheza na kushindana pamoja na kushine dhidi wachezaji wa level ipi?Sijaelewa sasa hivyo hizi sifa wanajipa za bure eee au?
Bado hajawapangilia vizuri mtani.Wacha weee!!
Umejua kuwapangilia mwenyewe japo nikwambie kwenye derby ya Yanga na Simba jipange kuwasahau hao. 😎
kwann haukuisha hapa hapa dsm ??Hapo umecheza na Tp mazembe pekee ambaye alimpiga Simba 4 lumbumbashi
Mimi napenda mpira zaidi kuliko ushabiki,bado tunasafari ndefu ,kuufikia Ubingwa wa Afrika,Simba huwa wanajaribu kufurukuta lakini wapi.Mfano mzuri huyo luiz a.k.a kondeboy wanaompamba amekosa number kwenye first eleven ya mamelody ya sa ndo wakaamua wamruhusu aondoke ndo akaenda Simba hapo inaonesha namna gani wenzetu walivyo kwenye level ya juu.Sawa Simba anashinda je anashinda dhidi ya Nani? Na hao wachezaji wanaowapamba Kama chama, deo Kanda wanacheza na kushindana pamoja na kushine dhidi wachezaji wa level ipi?