Tulia wewe utopolo..magoli yote ya butu butu tu,butuuuuuuu kipa katema,butuuuu tena kipa imegonga mwamba,butuuuuu tena imebabatiza mabeki butuuuuuuu tena ndio inaingia kwenye nyavu...alafu benchi la ufundi lote linashangalia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anapumzika tu usichopenda kocha kapemda mkuu76' Ametoka Morrison na nafasi yake imechukuliwa na Mzamir upande wa Simba
Hii Sub sijaipenda kuna shida gani Morrison kumalizika dakika 90?