Vodacom Premier League VPL | Simba SC Vs Mbeya City (4-1) | Benjamin Mkapa

Vodacom Premier League VPL | Simba SC Vs Mbeya City (4-1) | Benjamin Mkapa

45+2' Kuelekea kuwa mapumziko Uwanja wa Mkapa

Naaaam mpira ni mapumziko ambapo Simba SC wapo mbele kwa mabao mawili kwa bila dhidi ya Mbaya City.

VPL, HT; Simba SC 2-0 Mbeya City
 
3bila iyooo
giphy.gif


Sent using Jamii Forums mobile app
Aminia.
 
magoli yote ya butu butu tu,butuuuuuuu kipa katema,butuuuu tena kipa imegonga mwamba,butuuuuu tena imebabatiza mabeki butuuuuuuu tena ndio inaingia kwenye nyavu...alafu benchi la ufundi lote linashangalia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
  • Thanks
Reactions: Lee
magoli yote ya butu butu tu,butuuuuuuu kipa katema,butuuuu tena kipa imegonga mwamba,butuuuuu tena imebabatiza mabeki butuuuuuuu tena ndio inaingia kwenye nyavu...alafu benchi la ufundi lote linashangalia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
pole sana
 
mda sio mrefu kipindi cha pili kitaanza
 
wawa... onyangoo.. juma kenedy morrisoniiii kwakeeeeeee zimbweeeee...kapteeeeeiiiiiiiiiin gooooooaaaaaaaaal
 
Back
Top Bottom