Juzi wamewatibua Waamuzi, na mmoja kapigwa benchi miaka mitatu yaani wamekuwa waoga sasa.
Hii ndiyo timu yenyewe
Wameonjesha tu ili muone machungu ya zile points karibia15 mlizodhulumuWaamuzi wametuangusha mechi hii.
Refa leo kawaangusha, subirini upepo upite muendeleze miamala ili magoli ya offside yaendeleee89' Kagere anakosa kumalizia krosi ya Chama, ilikuwa nafasi bomba kwa Simba kusawazisha
Simba 0-1 JKT