Your Majesty
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 3,242
- 5,345
Hali yao mbaya juzi hapa walitegemea kupata faraja kwa Mbao lakini nako hola, kwakweli wanahitaji faraja hawa Vyura wasije wakajitundika.Ha ha ha imewavuruga mpaka wamepoteana, na bado wataendelea kupotea.
ntakupa na wa iran wakusindikizeIkiwa hivyo mi ntafanya hivi
Natimba washington nikiwa jeshi la mtu mmoja nahakikisha nasepa na bichwa la trump bila wenge nampelekea ayatolah halafu anipe bingo ile ya m 80$ nije nitanue hyatty hotel
Tulia wewe dawa iingie[emoji23]Toka Mwamedy awaletee mshauri Mkuu wa Timu yake... mmechanganyikiwa.....kamuombeni radhi mzee Kilomoni[emoji2][emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tikisa kalio dawa isambae vyema mwilini[emoji23]Kampuni ya Mwamedy...yenu ninyi ni makelele ya ushabiki....Mhindi kabeba na Hati Katia kapuni
Mwacheni Mwamedy na timu yake...sio mnajipendekeza tu wakati hamna kitu[emoji1787]
Bill 4 mishahara kwa Mwaka, Mhindi sio fala
Sent using Jamii Forums mobile app
Kufungwa na Kagera siyo sababu kuwa sisi ni weak........na bahati mbaya sisi huwa hatuendi na matokeo mfukoni na force kina Jonisia watusidieAcha kusingizia kukaza Azam, uwezo wenu ni mdogo ebu angalia kichapo dhidi ya Kagera Sugar.