Vodacom Premier League: Yanga SC 0 Vs 1 Azam FC

Vodacom Premier League: Yanga SC 0 Vs 1 Azam FC

25' Goooooooooooooooooooaaal goooal
Azam FC wanaandika bao la kwanza baada Ally Mtoni kujifunga kufuatia golikipa Shikalo kuupangua mpira uliomfikia beki huyo

Azam FC 1-0 Yanga SC
 
30' Yanga wanapata Kona, Inapigwaaa lakini mpira unaokolewa na mabeki wa Azam
 
36' Molinga yupo chini akipatiwa matibabu baada kupata rabsha, ameinuka mpira unaendelea

Azam FC 1-0 Yanga SC
 
40' Kona Inapigwa upande wa Azam FC..Inapigwaaaaaa anatokea golikipa Razak na kudaka
 
45+2' kuelekea kuwa mapumziko

Naaaaaaam mpira ni mapumziko ambapo Azam FC wakitangulia wakitoka kifua mbele kwa bao moja bila

HT: Azam FC 1-0 Yanga SC
 
Kuna wadau siwaoni humu..lakini game bado Yanga wana nafasi..huku niliko mvua imefanya nishindwe kuangalia mpira vzr..
 
46' Mpira unakaribia kuanza kipindi cha pili

Naaaaaaam mpira umeanza lala salama VPL

Azam FC 1-0 Yanga SC
 
Jamani hawa azam wanataka kunitoa roho hapa, magoli gani wanakosa hapa.
 
Back
Top Bottom