Vodacom Premier League: Yanga yavunja mwiko uwanja wa Liti / Namfua, kwa kuitandika Singida Utd kwa magoli 3 -1

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Morali ya mashabiki ni ndogo hapa uwanjani. Wachezaji wanapasha tayari kwa mpambano kutafuta point tatu. Ukumbuke tu Yanga SC haijawahi kutoka na point 3 katika uwanja huu zamani ukiitwa Namfua.

Yanga imetoka kufungwa mechi 2 mfululizo huku Singida ikiwapambana kujinasua kushuka daraja.

Nitakuletea updates muhumu


Kikosi cha Yanga
 
Hawa wakulima wa Alizeti tunawapiga Bao zisizopunguq 3 leo. Team yetu imeshaelewa Falsafa ya Kocha wetu mpya.

Kama tukifungwa leo nipigwe Ban ya masaa 24. Leo ushindi upo nje nje kabisa.yaani bila chenga. Na uhakika wa asilimia 100 na sasa ndo tumefungulia bomba. Tutawatiririshia tu maji machafu mpaka wapagawe.
 
Safi sana vyura wakipigwa itapendeza 🐸🐸
 
Mkuu! Mie kwa sauti ndogo kabisa naungana na yule shabiki machachari wa Yanga wa vigelegele na miluzi "hakuna alieandikiwa barua kuishabikia Yanga, wacha ituue". Matokeo ya mechi ndio yataamua kama niongeze sauti + kigelegele + mluzi au la! 😅
 
Leo Tunashinda andaa tu juice ya Kitunguu,limao na ukwaju unywe. Tupo Vizuri.

Mkuu! Mie kwa sauti ndogo kabisa naungana na yule shabiki machachari wa Yanga wa vigelegele na miluzi "hakuna alieandikiwa barua kuishabikia Yanga, wacha ituue". Matokeo ya mechi ndio yataamua kama niongeze sauti + kigelegele + mluzi au la! 😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…