kanyagio
JF-Expert Member
- Dec 10, 2009
- 1,021
- 366
Vodacom is to issue shares worth up to Sh500 billion in its planned initial public offer (IPO) - the highest in the history of IPOs in Tanzania.
Sasa ndugu wataalam wa DSE shares naomba tujadili kidogo. Kwa hali ya biashara ilivyo, je zitapata soko? Ninatamani kununua lakini taarifa za kupunguza wafanyakazi na pia makampuni mengine kupanga kufunga biashara zinanitia wasiwasi.
Tujadili
Sasa ndugu wataalam wa DSE shares naomba tujadili kidogo. Kwa hali ya biashara ilivyo, je zitapata soko? Ninatamani kununua lakini taarifa za kupunguza wafanyakazi na pia makampuni mengine kupanga kufunga biashara zinanitia wasiwasi.
Tujadili