Vodacom shida nini matuzimia mtandao ovyo?

Vodacom shida nini matuzimia mtandao ovyo?

mbuzi wa mshenga

Senior Member
Joined
Oct 28, 2016
Posts
160
Reaction score
173
VODACOM shida nini matuzimia mtandao hovyo?

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hivi hawa watoa huduma za Voda kwa nini wanatuzimia mtandao hovyo na kutusababishia hasara na fedheha ya mawasiliano huku wakiendelea kutulia bando/vifurushi tunavyoeka?

Mbaya zaidi hata wakirudisha mtandao hewani hawaombi hata radhi au kuturudishia vifurushi vyetu!!! Hivi wenyewe hawaoni kama huu ni wizi kama wizi mwingine na ni kosa kisheria kuwafanyia wateja usumbufu wa namna hii?

Soma Pia: Shida ya mtandao inayoendelea nchini tatizo ni nini? Serikali mpo kimya kampuni za mitandao mpo kimya! Sasa nani ana majibu?

Je, Waziri wa Wizara husika haoni hili pamoja na wasaidizi wake wakalikemea hili? Ni aibu na fedheha kama Wizara husika wakikubali na kuendelea kukaa kimya kwa vitu kama hivi wanavyofanyia wananchi maskini katika nchi yao. Au na hili linahitahi wanasiasa kushika shilingi bungeni?
 
Mimi nilitoa ushauri tu kwamba uhame mtandao au nimekosea mkuu?
Hivi unafahamu watu wameshakaa na hizo laini kwa muda gan na namba wanazotumia ukibadili lain atawaletea usumbufu au kupoteza watu wangapi? Je ushafikiri kwa wenye biashara zao waanze badili namba tena atapoteza watu wangapi? Tanua fuvu hilo unapota kuandika jambo kuliko kutumia mihemko ya ujuaji ujinga.
 
VODACOM shida nini matuzimia mtandao hovyo?

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hivi hawa watoa huduma za Voda kwa nini wanatuzimia mtandao hovyo na kutusababishia hasara na fedheha ya mawasiliano huku wakiendelea kutulia bando/vifurushi tunavyoeka?

Mbaya zaidi hata wakirudisha mtandao hewani hawaombi hata radhi au kuturudishia vifurushi vyetu!!! Hivi wenyewe hawaoni kama huu ni wizi kama wizi mwingine na ni kosa kisheria kuwafanyia wateja usumbufu wa namna hii?

Soma Pia: Shida ya mtandao inayoendelea nchini tatizo ni nini? Serikali mpo kimya kampuni za mitandao mpo kimya! Sasa nani ana majibu?

Je, Waziri wa Wizara husika haoni hili pamoja na wasaidizi wake wakalikemea hili? Ni aibu na fedheha kama Wizara husika wakikubali na kuendelea kukaa kimya kwa vitu kama hivi wanavyofanyia wananchi maskini katika nchi yao. Au na hili linahitahi wanasiasa kushika shilingi bungeni?
Wanapambana na kabendera
 
Hivi unafahamu watu wameshakaa na hizo laini kwa muda gan na namba wanazotumia ukibadili lain atawaletea usumbufu au kupoteza watu wangapi? Je ushafikiri kwa wenye biashara zao waanze badili namba tena atapoteza watu wangapi? Tanua fuvu hilo unapota kuandika jambo kuliko kutumia mihemko ya ujuaji ujinga.
Haina noma basi sawa
 
Back
Top Bottom