Vodacom shida nini matuzimia mtandao ovyo?

Vodacom shida nini matuzimia mtandao ovyo?

Hivi unafahamu watu wameshakaa na hizo laini kwa muda gan na namba wanazotumia ukibadili lain atawaletea usumbufu au kupoteza watu wangapi? Je ushafikiri kwa wenye biashara zao waanze badili namba tena atapoteza watu wangapi? Tanua fuvu hilo unapota kuandika jambo kuliko kutumia mihemko ya ujuaji ujinga.
Sema na wewe ukibadili laini kwa kukurupuka utakuwa limbuzi kweli kama jina lako hilo weka namba nyingine sasa kwa ajili ya plan b hutaki kaa hivohivo uendelee kulizwa na hao voda

Na bado, watakuja kukupiga tukio zaidi ya kukata kata mtandao katika hiyo biashara yako kisa ujuaji huo

Sema haina noma huwa sipendi kubishana,
Fanya unachoona sahihi
 
Back
Top Bottom