Vodacom Tanzania mmeniharibia sana na M-Pesa yenu

Vodacom Tanzania mmeniharibia sana na M-Pesa yenu

UNSPECIFIED

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2017
Posts
792
Reaction score
2,609
Tarehe 29/12/2022 saa tano usiku nilifanya muamala kutoka simu yangu kwenda akaunti ya benki NMB kiasi Cha 2.25m Cha kushangaza mpaka Leo hii 31/12/2022 saa saba usiku ikiwa takribani saa 27 toka nifanye muamala bado pesa haijafika NMB wala kwangu haijarudi kisingizio ni mtandao.

Nimeumizwa sana kwani hii pesa nilikuwa namlipa mteja wangu na ndio nimeshaitwa tapeli tayari.

Nimewapigia huduma kwa wateja nikatembelea Voda Shop wanasema nisubiri tena saa zingine 24 yaani hela yangu ikae pending saa 48 hivi mnaona rahisi sana?

Ninahuzunika sana na moyo wangu umepondeka kwani nimeonekana kwa mteja wangu Mimi si mwaminifu.

Hakuna namna lakini sio sawa.
 
Mkuu Kutoka Tar 30 saa 5 usiku HADI Tar 31 saa 7 Usiku.
Ni tofauti ya Masaa Mawili tu Mkuu na sio masaa 27

POLE SANA kwa yaliyokukuta...
Tufanye kurahisisha ni juzi saa tano usiku.
Asante mkuu inasikitisha sana aisee kwa msimu huu walitakiwa wawe makini sana miamala ikamilike kwa wakati.
 
M-Pesa mtandao unasumbua sana huu mwezi sijui tatizo nini.

Mimi juzi ilinitokea kama hivyo nilifanya muamala wa elf 5 sikupata sms ya uthibitisho, nikarudia tena kimya. Jumla walikata elf 10.

Walinirudishia pesa siku 2-3 mbele wenyewe na hata sikuwapigia.
 
M-Pesa mtandao unasumbua sana huu mwezi sijui tatizo nini...
Mimi juzi ilinitokea kama hivyo nilifanya muamala wa elf 5 sikupata sms ya uthibitisho,, nikarudia tena kimya .. Jumla walikata elf 10 ..
Walinirudishia pesa siku 2-3 mbele wenyewe na hata sikuwapigia.
Wamevimbiwa wanatuvuna wanavyotaka sasa na huduma wanatoa wanavyojiskia wao sio mteja anavyotaka. So sad
 
Tarehe 29/12/2022 saa tano usiku nilifanya muamala kutoka simu yangu kwenda akaunti ya benki NMB kiasi Cha 2.25m Cha kushangaza mpaka Leo hii 31/12/2022 saa saba usiku ikiwa takribani saa 27 toka nifanye muamala bado pesa haijafika NMB wala kwangu haijarudi kisingizio ni mtandao.

Nimeumizwa sana kwani hii pesa nilikuwa namlipa mteja wangu na ndio nimeshaitwa tapeli tayari.

Nimewapigia huduma kwa wateja nikatembelea Voda Shop wanasema nisubiri tena saa zingine 24 yaani hela yangu ikae pending saa 48 hivi mnaona rahisi sana?

Ninahuzunika sana na moyo wangu umepondeka kwani nimeonekana kwa mteja wangu Mimi si mwaminifu.

Hakuna namna lakini sio sawa.

Ukiwa na haraka na vitu vya muhimu achana na ma mpesa, na wana majibu mabaya kweli.

Nilimtumia mke wangu 700,000 ya operation, nipo Iringa nahangaika na maisha, tena za kukopa, zikaishia na network problems.

Imagine mke is due for operation, yupo hospital, nimekopa hela, naambiwa ngoja 24 hours? What?

Akili hakuna, ni kama ma robort, system, sytem, hakuna mtu wa juu ambaye anaweza ku ammend situation baada ya kuangalia magnitude of the problem?
 
Tarehe 29/12/2022 saa tano usiku nilifanya muamala kutoka simu yangu kwenda akaunti ya benki NMB kiasi Cha 2.25m Cha kushangaza mpaka Leo hii 31/12/2022 saa saba usiku ikiwa takribani saa 27 toka nifanye muamala bado pesa haijafika NMB wala kwangu haijarudi kisingizio ni mtandao.

Nimeumizwa sana kwani hii pesa nilikuwa namlipa mteja wangu na ndio nimeshaitwa tapeli tayari.

Nimewapigia huduma kwa wateja nikatembelea Voda Shop wanasema nisubiri tena saa zingine 24 yaani hela yangu ikae pending saa 48 hivi mnaona rahisi sana?

Ninahuzunika sana na moyo wangu umepondeka kwani nimeonekana kwa mteja wangu Mimi si mwaminifu.

Hakuna namna lakini sio sawa.
Hii mitandao sio ya kuamini,
mimi mwenyewe nishawahi kuonekana tapeli. Kuna pesa mls 3.8 alikuwa ananidai dadangu badala ya kumlipa akassema kuna mtu amemletea mzigo so nihamishie kwenye akaunti yake.

Mimi nlikuwa nayo kwenye tigo pesa akanitumia akaunti nikahamisha na msg nikapokea ya muamala kwenda. Nikamwambia tayari naye akamtaarifu.

Ikapita siku tatu yule mtu anamwambia sista ile ela mbona haipo sista ananicheck nawapgia tigo wanasema sijui kweli haijafika kuna shida ya mtandao, kumbuka ishapita siku tatu.

Nahisi sista hakunielewa na mteja wake hakumwelewa yeye. Nimewapgia nikaona wanazingua, ikabidi niende pale ofisini kwao siku mbili wananzngua tu yan walikuja rudisha ile pesa siku ya tano toka niitume ikabidi niitoe niiweke bank lakini sister alihisi namwongopea na mteja wake alihisi anaongopewa.

Halafu wanakuwa na majibu simple kama vile wanakupa msaada
 
Ukiwa na haraka na vitu vya muhimu achana na ma mpesa, na wana majibu mabaya kweli.

Nilimtumia mke wangu 700,000 ya operation, nipo Iringa nahangaika na maisha, tena za kukopa, zikaishia na network problems.

Imagine mke is due for operation, yupo hospital, nimekopa hela, naambiwa ngoja 24 hours? What?

Akili hakuna, ni kama ma robort, system, sytem, hakuna mtu wa juu ambaye anaweza ku ammend situation baada ya kuangalia magnitude of the problem?

Ni kuwashtaki tu mahakamani (unaanzia TCRA). Wao (voda na wengine) wanatoa huduma ya mawasiliano huku wakijinasibu kuwa wana mtandao bora (imara), kufeli kwa mtandao huo kufikisha pesa mahali husika ni kinyume cha matangazo yao, hivyo wanakuwa wamekudanganya mteja - wamekushawishi ujiunge nao wakikuaminisha kuwa wana mtandao imara kumbe sio.

Matokeo ni kuwa umeingia hasara (umetafuta pesa kwingine na kutuma kwa njia nyingine unakodaiwa au umekosa dili la biashara). Dawa Ni kudai fidia tu, tusiwachekee
 
Ukiwa na haraka na vitu vya muhimu achana na ma mpesa, na wana majibu mabaya kweli.

Nilimtumia mke wangu 700,000 ya operation, nipo Iringa nahangaika na maisha, tena za kukopa, zikaishia na network problems.

Imagine mke is due for operation, yupo hospital, nimekopa hela, naambiwa ngoja 24 hours? What?

Akili hakuna, ni kama ma robort, system, sytem, hakuna mtu wa juu ambaye anaweza ku ammend situation baada ya kuangalia magnitude of the problem?
Pole sana kwa kuuguza,yaani maswali yao kama maroboti hawana msaada mteja wao anapopata tatizo,Unaulizwa una shida nyingine tukusaidie wakati iliyopo mezani haijatatuliwa
 
Ni kuwashtaki tu mahakamani (unaanzia TCRA). Wao (voda na wengine) wanatoa huduma ya mawasiliano huku wakijinasibu kuwa wana mtandao bora (imara), kufeli kwa mtandao huo kufikisha pesa mahali husika ni kinyume cha matangazo yao, hivyo wanakuwa wamekudanganya mteja - wamekushawishi ujiunge nao wakikuaminisha kuwa wana mtandao imara kumbe sio, matokeo ni kuwa umeingia hasara (umetafuta pesa kwingine na kutuma kwa njia nyingine unakodaiwa au umekosa dili la biashara). Dawa Ni kudai fidia tu, tusiwachekee
Udanganyifu na utapeli mtupu.
 
Ni kuwashtaki tu mahakamani (unaanzia TCRA). Wao (voda na wengine) wanatoa huduma ya mawasiliano huku wakijinasibu kuwa wana mtandao bora (imara), kufeli kwa mtandao huo kufikisha pesa mahali husika ni kinyume cha matangazo yao, hivyo wanakuwa wamekudanganya mteja - wamekushawishi ujiunge nao wakikuaminisha kuwa wana mtandao imara kumbe sio, matokeo ni kuwa umeingia hasara (umetafuta pesa kwingine na kutuma kwa njia nyingine unakodaiwa au umekosa dili la biashara). Dawa Ni kudai fidia tu, tusiwachekee
Wamenipaka matope kwa mteja wangu muhimu sana.
 
Hakuna kitu kiliwahi kunyooka na kuwa rahisi Tanzania....jambo linaweza kuwa smooth and smart likiwa nje ya Tanzania ila likifika tu Tanzania ndio shida nazo zinaanza
 
Hii mitandao sio ya kuamini,mimi mwenyewe nishawahi kuonekana tapeli. Kuna pesa mls 3.8 alikuwa ananidai dadangu badala ya kumlipa akassema kuna mtu amemletea mzigo so nihamishie kwenye akaunti yake. Mimi nlikuwa nayo kwenye tigo pesa akanitumia akaunti nikahamisha na msg nikapokea ya muamala kwenda.
Nikamwambia tayari naye akamtaarifu.
Ikapota siku tatu yule mtu anamwambia sista ile ela mbona haipo sista ananicheck nawapgia tigo wanasema sijui kweli haijafika kuna shida ya mtandao, kumbuka ishapita siku tatu.
Nahisi sista hakunielewa na mteja wake hakumwelewa yeye. Nimewapgia nikaona wanazingua, ikabidi niendw pale ofain kwao siku mbili wananzngua tu yan walikuja rudisha ile pesa siku ya tano toka niitume ikabidi niitoe niiweke bank lakini sister alihisi namwongopea na mteja wake alihisi anaongopewa.
Halafu wanakuwa na majibu simple kama vile wanakupa msaada
Unanitisha mkuu siku tano si mchezo ngoja nijiandae kisaikolojia
 
Back
Top Bottom