Vodacom Tanzania nawauliza, mtu mwenye miaka 75+ haruhusiwi kumiliki simcard yenu?

Down To Earth

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
21,940
Reaction score
16,643
Ajabu sana hii, Leo nimemwambia wakala amsajilie Line ya Vodacom Tanzania mzee wa miaka 77, wakala amepambana imeshindikana anasema voda hawaruhusu mtu wa miaka 75 na kuendelea kusajiliwa line..

Ina maana mna nini special sana nyie mpaka muweke limit ya mtu kumiliki simcard ya mtandao wenu?

This is stupid.
 
Hakuna kitu kama hiko, nenda kwa wakala
 
Duh.
Kwa hiyo watu wa miaka 70+ Hawana haki ya kuwasiliana?
 
Huo ndio ukomo wa kikokotoo, mstaafu atatoa pesa wapi ya kununulia bandle πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Pia kumsajiria mtu laini ya simu ni kosa kisheria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…