Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)


Nenda kaombe statement ya matumizi yako kwenye vituo vyao
 
Wewe nawe ndy wale wale mpaka mtu anaanzisha uzi hapa uje ehajakurupuka

hoja nzito mnajibu kwa majibu mepesi mepesi tu ptu ptuu Mulugo's type 😡😡

Acha ubishi, rekebisha settings, ma smart hayo yanakua net full tym.
Au ukiweka salio tu jiunge na vifurush vya unlimited
 

Acha uongo
 
Ninaomba useme hapa hapa bila kukwepesha, ni settings zipi ambazo unanunua bundle ya 20,000 ya kutumia kwa siku 30 UNLIMITED, halfu sikifika siku 25 bundle lako limekwisha nunua tena!.

Ikiwa wao wenyewe wamekuwa wakikwepa kila nikiwapigia simu kuwauliza hili hawajawahi kujibu, wewe unapata wapi jibu?

Sema tusikie.


Hakuna wizi angalia setting kwenye simu yako net inakula muda wote
 
Vipi unaponunua bundle la non limetd kwa sku thelathini halfu baada ya 25 days unaambiwa kifurushi kimeisha???

Unataka kusema nini wewe?


Kama mnabisha weka hiyo vocha kwenye Nokia ya tochi isiyo na uwezo was 3G tuone kama itakatwa...acheni ubishi. Unatakiwa uzime internet kabla hujaweka vocha...
 
Mnalalamika bure ninyi mkipigiwa simu zile call tunes zinalipiwa kwa siku ma meseji yasiyo na mpango yanalipiwa kwa siku, pengine ulisubsucribe huduma hizo pasipo kuwa makini. Kwa kwa sasa unabanwa na kipengele cha MASHARTI YAMEZINGATIWA.
 
Vipi unaponunua bundle la non limetd kwa sku thelathini halfu baada ya 25 days unaambiwa kifurushi kimeisha???

Unataka kusema nini wewe?

Mimi ni mteja was Voda wala sio customer care. Ila unlimited ya network za bongo wanachofanya wanakupa good speed kwa GB kadhaa alafu unapata slow connection bila kukatwa up to 30 days. Kama ulikatwa kawalalamikie wakulipe huo utakua ni wizi. Alafu karibu mitandao yote tabia zao ziko same mkuu...
 
Mimi I hate them, they make me sick to my stomach... Huwa najiunga na tigo weekend kuangalia live streaming mpira kwa tigo mambo ni swafi ile mbaya jana nikasema nina hela kwenye mpesa wacha nijiunge na voda nikajiunga jaribu kustream hakuna kitu nimeamka nayo nikajaribu tena hakuna kitu
Nimewapiga chini kabsa wala sitarudi nyuma
 

Thanx man afu kuna watu wankauja kuongea sh*t hapa Vodacom naitumia kwaajil ya mpesa na internet tu so huwa sijiungi na huo upuuzi mwingine zaid ya kutuma pesa home na katumia net ya voda so kwann qmwaniibie salio langu its not fair
 
Wamekuwa wakikata si mara moja wala mbili. Ukipiga customer service wanakuambia ujinga ambao hutegemei kuusikia. Misho wanasema watasolve in 24 hrs, ndiyo inakuwa basi.

Kweli vodacom ni majizi sana.


 

Ndo biashara ya chuma ulete wizi mtupu kila kona na kila sector hi ndo TZ
 
Kina mambo màwili. Moja simu yako no feki au umenunua kwa MTU. Pili laini yako no feki nilishasikia kuwa ndani ya VODACOM kuna wajanja, Vodacom wanalijua hili na wanasumbuka kuzitoa line feki kwenye soko.
 
Setting nimeangalia nimewapelekea pia wenyewe kwenye tawi lao lakin leo nimenunua salio la elfu 5kwa M_pesa na still wamelikomba bila kutumia huduma yeyote narudia Voda acheni wizi hata kama ni faida mnataka si kwa kuibia wateja

Mhh,,,,,mi natumia voda mwaka wa 15 sasa,,iyo sijawai sikia, tena simu yangu muda wote data ipo On,,,,Labda km Kuna mengine mnnayo juu ya Vodacom
 
nitajaribu tena voda maana kwa sasa tigo ni tatizo na hawasikilizi tena malalamiko wao wanapiga hela tu!

kaka voda wapo safi mno aachanaa na watu wanaoponda kwa maslai yao,,,huo mtandao uliowataja mi sitaki ht kuwasikia kwa upande wa intaneti
 

mimi nilikuwa mteja wa internet vile vifurushi vya unlimited vya elfu 30 kwa mwezi, kuna siku ile naweka tu vocha ya kwanza ya buku 10 kabla sijamaliza zoezi la kuweka vocha zote nikacheck salio nikakuta 0
nikaona isiwe tabu, kilaini chao nimekitupa mwaka wa pili sasa,
 
Voda ndo mtandao uliobora kwa huduma zao kuliko hii mingine,,,,km huo tigo mke wangu wiki moja iliyopita ametapeliwa laki nne kwenye ofisi yake ya tigo pesa na mpesa,,na iyo si mara moja,,tena wanakupigia kwa namba yao ya customer. Care,,,,,lkn kwa upande wa voda hawana upuuzi huo,,,,,weka ht milioni tano kwa simu yako,,itakaa ht mwezi bila kufanyiwa usanii wowote,,,,,
 
voda ni wezi sana tu, kwa kuiba salio hawajambo, linatoweka tu km jini ukiwapigia majibu mepesiii yaani unaweza tukana mtu, mie nitawahama soon walah
 
Vodacom ni wezi na hawana nia njema kabisa kwa wateja wao,
nimewaham hata kabla dk na sms zangu za wiki hazijaisha,
nnko airtel sasa sijapata kesi yyte,
mtandao wao una nguvu wakti wwte sio kama voda kuanzia saa 9 hadi saa 5 usiku ni kero.
 

Uongo ni dhambi...
 
Nina shida kuhusu sms.
Nikituma au kutumiwa sms na watumiaji wa Vodacom basi hiyo sms inaweza kuingia hata mara 30 kwa siku 3-4 mfululizo. Tatizo nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…