Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Kiukweli Vodacom ulikuwa ni mtandao nilioupenda sana toka mwaka 2005.. ila mm ilinibidi kuhama mwaka jana sababu ya upumbavu wa uongozi uliopo kwenye kampuni hio..
kwanza Vodacom mpaka sasa hawajaboresha ubora wa huduma za Internet vijijini.. mfano wenzao Tigo na Airtel wana huduma ya 3G mpaka maeneo ya vijijini..
vifurushi vyao vya internet vilikuwa vya kijinga, but now ni vya kipumbavu...
KAMA VODACOM HAWATAFANYA MABADILIKO YA HARAKA HAKIKA MPAKA KUFIKA TAR 20 FEB WATAPOTEZA 30% YA WATEJA WAO WA INTERNET!!!
WAKE UP VODAAA
 
Mi niliwashtukia tokea 2013 ndipo walianza kuleta nyodo nikahamia airtel mpaka leo airtel
 
hamia airtel yatosha babalao
airtel kwenda mitandao mingine masaa 24

Tsh 399= dk 5+50sms+15mb

Tsh 499= dk 10+300sms+75mb

Tsh 599= dk 15+350+100mb

Tsh 649= dk 17+459sms+125mb

Tsh 999= dk 25+1000sms+150mb

Hamia Airtell.
 

Hawa jamaa ni wezi wazoefu.
 

Tigo ipokee wateja wapya kutoka wapi wakati wamewaiga voda kutupunguzia vifurushi vya internet? Nao ni hovyo kabisa, internet yao ipo sawa na kutokuwepo.
 
Tigo ipokee wateja wapya kutoka wapi wakati wamewaiga voda kutupunguzia vifurushi vya internet? Nao ni hovyo kabisa, internet yao ipo sawa na kutokuwepo.


hamia airtel yatosha babalao
airtel kwenda mitandao mingine masaa 24

Tsh 399= dk 5+50sms+15mb

Tsh 499= dk 10+300sms+75mb

Tsh 599= dk 15+350+100mb

Tsh 649= dk 17+459sms+125mb

Tsh 999= dk 25+1000sms+150mb

UJINGA WETU UNATUPONZA HAMIENI
HUKU....
AIRTEL YATOSHA
 

Kama vodacom na tigo wameamua kufanya hivyo, hakuna cha kupoteza muda, ni kwenda airtel tu. Mb 8 hata kipande cha gazeti moja huwezi kumaliza.
 
hamia airtel yatosha babalao
airtel kwenda mitandao mingine masaa 24

tsh 399= dk 5+50sms+15mb

tsh 499= dk 10+300sms+75mb

tsh 599= dk 15+350+100mb

tsh 649= dk 17+459sms+125mb

tsh 999= dk 25+1000sms+150mb

hamia airtell.

tcra ??????????????!
 
Airtel nao wamepandisha bei za vifurushi vyao, nafikiri huu ni mpango maalumu kwa hawa wenye maksmpuni ya simu
 
***** zao voda ngoja nmalize hizi mb zao navunja laini yao rasmi

Pole sana mkuu, nilihangaika na vodacom nikieleza matatizo yao haya ya wizi lakini kuna kipindi watu walichukulia utani hapa jamvini, leo nina takribani miezi mitano toka kuwahama na haijatokea siku yeyote niliyojuta.

Wiki iliyopita wameifunga line yao baada ya kubakiza Tsh 4.12 takribani kwa miezi mitano.

Karibu Airtel.
 
Airtel nao wamepandisha bei za vifurushi vyao, nafikiri huu ni mpango maalumu kwa hawa wenye maksmpuni ya simu

Mkuu ni kweli Airtel wamepandisha gharama, pengine baada ya kuona watu wengi wanahamia huko(kutafuta faida), lakini kwa gharama za vifurushi ni bora kubaki Airtel.

Mkuu, binafsi kuhamia airtel issue haikuwa vifurushi tu lakini wizi uliokithiri wa vodacom, wengi wetu tumetumia simu hizi na mitandao toka enzi kabla hata ya vifurushi kuja kwenye miaka michache iliyopita, na hakukuwa na lawama/malalamiko ila shida inakuja unaooweka salio/vocha na bila hata ya kuitumia inakwisha hapo ndipo pasipo na majibu.
 

Hii ni mitandao yote? Angalia vifurushi airtel
 
G O O D B Y E E E
VODACOM
KAZI IMEWASHINDAAAAA
Vifushi vya masaa 24 voda kwenda voda
Tsh 150=10 sms
Tsh 500= dk 15+250sms+8mb
Tsh 650= dk 30+300sms+8mb
Tsh 1000= dk 50+300sms+8mb
vodacom kwenda mitandao mingine
Tsh 150= sms 10
Tsh 499= dk 7+300sms+8mb
Tsh 649= dk13 +450sms+8mb
Tsh 999= dk 20+1000sms+8mb
vifurushi vya wiki voda kwenda voda
Tsh 1050= sms 70
Tsh 2000= dk 60+150sms+60mb
Tsh 2800= dk 85+700sms+60mb
Tsh 4000= dk 140+1750 sms+60mb
Tsh 7000= dk 250+2100sms+60mb
Tsh 10000= dk 360+2500sms+60mb
vodacom mitandao yote kwa wiki
Tsh 1050= sms 70
Tsh 1999= dk 29+500sms+6omb
Tsh 3999= dk 49+500sms+60mb
Tsh 4999= dk 91+1000sms+60mb
Tsh 9999= dk 190+1000sms+60mb
WEWE UNAEJIITA MARKETING MANAGER......HUU
SIO UBUNIFU ILA NI UMBUMBUMBU
YOUR FIRED!!!!.......... 👹 📌 🔧
MB 8 ............NAZIPELEKA WAPIIIIIIIII.....sambaza had ifke voda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…