SNAP J
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 7,106
- 8,043
Viwango mlivyoweka Vodacom kwa sasa ni vya kipuuzi kuliko kawaida. Mb 60 nazifanyia nini? Acheni kutuibia. Hii ni namna ya kurudisha faida kwenye promotion mnayoendelea nayo, we are not that stupid. Rudisheni viwango vya zamani otherwise you will loose. Kwa sasa Airtel are far better than you. Acheni upuuzi.!!
Una point mkuu. Huo huenda ndio ukweli wenyewe