Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)


Una point mkuu. Huo huenda ndio ukweli wenyewe
 
Kwa jicho la tatu huu ni mpango wa kudhibiti ueneaji wa habari hasa ukiangalia hii michakato ijayo ambayo nchi itapitia
 
Voda nilikuwa naipenda sana now days natumia tgo voda ni wezi mb 8 una download nn?
 
Naumia nitapoteza friends kwa kuhama ila kwa hali hii inabidi tu nihamie airtel maana hii haikubaliki kabisa ,mb 8 dah
 
jamani voda mmekua wez mbona mafuta yamepungua bei inakueje mnawaibia watanzania tunadhani esclor ni viongoz pekee kumbe na nyie mmo achen rudisheni zile bundle mlizopungua msidhan tunafaidi kitu
 
Una point mkuu. Huo huenda ndio ukweli wenyewe

kabisa hawa jamaa nimeshindwa kuwaelewa, huduma mtu ulikua unapata dk90 na mb 300 leo eti dk91 na mb 60 sijui ni uwiano upi wametumia. Ukweli huu ni uvivu wa kufikiri na ni wizi wa wazi kabisa, wanalazimisha kuongeza kipata kwa kuiba mchana kweupe. Kheri mngesema mmefuta hizi huduma kuliko haya mambo mloyafanya. Leo naenda kununua line ya watu wengine naona biashara imewashinda, na familia yangu yote watu 6 tunapiga chini laini zenu. wafanyakazi wangu 5 pia the same nawapa line nyingine
 
Nafikiri afisa masoko wao hajui anachokifanya.

Ametumwa kuharibu na kuna dili ameahidiwa sasa bora wamtoe mapema aisee. Huku nje watu wanaujua huu mchezo unaochezwa sasa na siku wakishtuka washalizwa
 

Njooni huku mjibu tuhuma za wizi huu mlioanza mbona mnakaa kimya acheni masikhara watu wana hasira na huduma zenu
 
Hamna pakwenda Tigo, Voda, Airtel kote ni hivyohivyo sema Voda wao ndo wamemfunga paka kengele kwa kulianzisha libeneke wenzao wamefuata.............................Ninavyoona dhamira yao kama unanunua kifurushi cha kupiga simu kiwe cha kupiga simu tu na kama cha Internet kiwe cha internet mana vd wao Tshs 1000 kifurushi cha siku Data bila kikomo na kifurushi cha wiki wamepandisha bei toka Tshs Elfu 6000/= mpaka Tshs 7000/=
Swali ambalo limekosa majibu ni "MABADILIKO HAYA YAMETOKANA NA NINI" Tanzania hii ukipata afueni kwenye mafuta wanakandamiza kwenye mawasiliano.
 
Njooni huku mjibu tuhuma za wizi huu mlioanza mbona mnakaa kimya acheni masikhara watu wana hasira na huduma zenu


Hawawezi kuja huku, wakiweka vipromo vyao ni kelele dunia nzima itajua lakini kwenye wizi kimya kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…