Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Hawawezi kuja huku, wakiweka vipromo vyao ni kelele dunia nzima itajua lakini kwenye wizi kimya kabisa

Hapa ukipost ka neno ka kuwapongeza tu unaona wanavyokajibu fasta lakini kwenye wizi lol!!! kweli wamekubuhu
 
Kinacho nishangaza jf huwa inawatu wanajua kila kitu ss y hawajajua hili na kwa nn?? Inamaana nw dayz jf imekosa watu makin wa internal information? ?

Kunashida kubwa kwenye mitandao hii maana hao jamaa wanafanya wanvyojua..
JF fanyen utaratib mje na majib y bei kwa mitandao yote imeshuka ghafura??
 
Cheki wanavyojifaragua kwenye mitandao ya kijamii badala ya kutoka maagizo
 

Attachments

  • 1423842031477.jpg
    38.1 KB · Views: 221
Dawa ni kununua kifurushi cha Internet tofauti na vifurushi vya kuongea
 
Leo peke yake nimejiunga mara nne nasema hivi nahama kwanza nilikuwa siwapendi tangu mwanzo
 
Mm voda naitumia kutunza hela zangu tu ila kwenye kujiunga akuna kitu kama icho koz wanaboaa nlikua natumia tigo naona nao wameanza na mb zao 8 ngoja nmalize mitian nihamie airtel tu ndio habar ya mujin
 
Jaymillions mmeiondoa?? Kwani tangu achukue Uwezo hamjatangaza tens mshindi
 
Me Ni Mteja Wenu Kutoka Dar, Nahitaji Kujua Ni Kwanin Nikituma Message Kwenda Mitandao Mingne Message Hizo Hazifiki?
 
Wanabeef na Android. Tutarud kwenye vitochi,haina shida tutarudi vitochi vyetu.
 
hawa jamaa wamekuwa matepeli. nahisi lowasa anakusanya hela ili kuongeza za kuhonga.

watu wa marketing wao ni bogus sana.!! hawajui kuwa faida kidogo kidogo kwa watu wengi ndio inaongeza pato kuliko faida kubwa kwa watu wachache
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…