HUGO CHAVES
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 2,045
- 549
Kubaki au kutoka
Ndugu mteja,
Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?
Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.
Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:
- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.
Karibu
Vodacom Tanzania
voda com wapo vizuri .siwatetei .ila huduma zao ninzuri.japokuwa upo wizi mdogo.ilaukiwafuata.kimakini hautaibiwa.mimi nipo voda com.sasa yapata miyaka kumi natano.bado sijaibiwa kwakiwango hicho.ilapale panapo kuwa.nashida zamawasiliano.kimtandao ndipo saliyo huenda kombo.tofauti yaotu,yawezekana usirudishiwe.fedha yako pale datazako hazito onekana kwa sababu zatofauti yamitambo ilakama mitambo inapo kuwa vizuri saliyo unarudishiwa data zako zikionekana.mimi nimeyahi kupoteza saliyo,ila nilipo ripoti.niliambiwa mitambo haijachukuwa data zangu hapo niliona kuwa kuna tatizo kimitambo,ilabaadae.walinipa saliyo.baada ya kuwaeleza kwakina huduma kwa wateja .voda com.:wink2:
Watumiaji wenzangu wa Vodacom ushauri wangu kwenu nawaomba kwenye hii mada yao tusichangie chochote make michango nimingi hatuoni majibu mnaonaje tusipo chngia chochote hadi pale watakapo anzisha nyingine ya maswali na majibu naona hii imelenga maswali tu bila majubu😕😕
Jamani sometimes hizi android zenu zinapakua data pale ti simu inapowekwa vocha.kabla ya kulalamika angalia hilo.ikiwezekana weka data mode off wakati unarecharge.malalamiko mengi kama hili alieanzisha uzi huu ni data mode kulamba airtime(ukinunua kifurushi cha data,na pale usipokuwa nacho airtime inaisha haraka sana)
Ndugu mteja,
Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?
Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.
Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:
- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.
Karibu
Vodacom Tanzania
kuna uwezekano wa kutumia huduma ya internet ya voda nje ya Tanzania?