Kumdaka boya kama huyo ni kitu kirahisi sana kama voda watakupa ushirikiano! waambie wakupe number za watu anaowasiliana nao mara kwa mara then wapigie hao watu kama watapatikana fanya juu chini ukutane nae halafu umwambie unashida nae akuelekeze kwake huyo jamaa uliemtumia pesa kimakosa! mbona utamdaka tu! au weka number yake hapa tumfume sasa hvi!
yani mda huo unaomba ushauri huku jamaa kasha itoa ni bora ungeongea na huduma kwa wateja
hiyo hela itarudi yote usiwe na wasi wasi ila cha msingi usiwe na haraka.mimi kuna mwanamke nilikuwa nampenda sana,akanidanganya kwa maneno yake then nikamrushia laki tano ilikuwa mida ya jioni siku hiyo,na siku hiyo akaniambia,beby kesho ntakuja kwako,na mimi nikamwambia naomba uwahi kuja ili ukaweze kuandaa chakula cha mchana.basi kesho yake nikakaa mpaka saa tano karibu ya mchana hajafika,nikaanza kumpigia simu na simu yake ikawa haipokelewi,nikaamua kumjulisha mfanyakaz mwenzangu,nikamwambia ebhana shemej yako simwelew anazingua kuja na simu hapokei.huku nikiwa naendelea kuongea na mfanyakaz mwenzangu,nikapigiwa simu na kuulizwa,wewe ni nani unaepiga simu ya mke wangu?kiukwel nilijisikia vibaya na jamaa yangu akanishaur niwapigie voda kuwaeleza,nikawaeleza na wakaifungia akaunt yake ya mpesa.nilikaa mda sana kama miez mitatu bila kuwapigia voda kama hela imeshaingia kwenye akaunti yake,na juz nikaamua kuwapigia wakaniambia kuna hela imeingia kwenye hiyo akaunt na wakanirudishia hela yangu yote.thanks god
Hivi kwanini huduma sensitive kama ya kutuma fedha ambayo kuna uwezekeno mkubwa wa mtu kukosea namba wasingeweka double check ili kuhakikisha unayemtumia fedha ndio yeye! eg Wangeweka mtumaji lazima aingize namba ya anayemtumia na jina lake kamili (surname na first name) halafu kabla fedha hazijaenda system ina-check kuhakikisha number = = to the names ndio iruhusu kuhamisha! Unapokuwa designer wa application yoyote kitu cha kutilia umuhimu kabisa ni user's error and mistakes!
sasa ushauri wa nn wakati pesa imetolewa..polisi watakulia hela zaidi hawawezi kuganya kazi bure.potezea tu...
Hivi kwanini huduma sensitive kama ya kutuma fedha ambayo kuna uwezekeno mkubwa wa mtu kukosea namba wasingeweka double check ili kuhakikisha unayemtumia fedha ndio yeye! eg Wangeweka mtumaji lazima aingize namba ya anayemtumia na jina lake kamili (surname na first name) halafu kabla fedha hazijaenda system ina-check kuhakikisha number = = to the names ndio iruhusu kuhamisha! Unapokuwa designer wa application yoyote kitu cha kutilia umuhimu kabisa ni user's error and mistakes!
double cheki ipo,jamaa ni mzembe tu,maana huwa wanakuuliza uinataka kutuma pesa kwa fulani,wanakutajia jina then unaconfirm kwa kubonyeza namba moja,na kama umekosea unacancel kwa kubonyeza namba 2.
sasa huyu alikuuwa anatuma pesa huku amelala au?
msaada wenu wadau,jamaa kashaitoa na voda wanasema hawana jinsi ya kufanya labda mpaka jamaa aweke pesa kwenye akaunti yake ndio wataikata. polisi nao wamesema watafuatlia ni siku ya nne sasa! jamaa anapatkana ila hapokei simu na akipokea haongei.
lakini kabla hujaweka pin (kwa tigo) na 1 kuhakiki (kwa Voda). system si huwa inaleta jina?
labda kama anatuma mtandao tofauti.
double cheki ipo,jamaa ni mzembe tu,maana huwa wanakuuliza uinataka kutuma pesa kwa fulani,wanakutajia jina then unaconfirm kwa kubonyeza namba moja,na kama umekosea unacancel kwa kubonyeza namba 2.
sasa huyu alikuuwa anatuma pesa huku amelala au?