Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Napenda speed ya voda nachukia uduma ya vfurush walvyo navyo bora airtel inabana matumz omg kwa wiki 1000 unapewa mb 150 kwa siku ukijiunga adi cha 250 LAKN NYIE internet wik 3500 nakuendelea mkiweka kwa wik ata mb 100 elf 1 ni sawa kwasababu wengne tunatumia cm ambalo ziko low data tukichat FB,TWITTER,KUSOMA SOMA MA HABAR JAMII FORUM, KAMA WANAFUNZ TUNACHEK NOTCE KUPTIA SHULE DIRECT NABADO MB 150 AZJAISHA NYIE SASA 3500 YOTE IYO PUNGUZEN GHARAMA TZ NMASKN NYIE MNAIFANYA YAMATAJIR 0787392386
 
Voda wanakera kwenye vifurushi 60 MB ukijiunga ukiperuzi kidogo unatumiwa SMS kuwa kifurushi kimeisha halafu wako slow sana kwanini msifanye kama airtel????
 
Ni wasumbufu sana nimelinew Line nikiwapigia simu wananizingu
 
Nina lain mpya ya voda ila nahisi nitaipoteza mda c mrefu... internet bundles zake ni ubabaishaj 2pu..
 
Salam wadau,

Hui mtandao wa Voda ni matapeli wakubwa sana,yaani unaweka vocha sasa hivi na kukatwa fasta.

Ukiwapigia simu customer care wanakuambia uliwasha data, kwa Mimi ndiyo nawaaga rasmi na line navunja,naomba muwe macho na majambazi haya.
 
Salam wadau,
Hui mtandao wa Voda ni matapeli wakubwa sana,yaani unaweka vocha sasa hivi na kukatwa fasta.
ukiwapigia simu customer care wanakuambia uliwasha data,kwa Mimi ndiyo nawaaga rasmi na line navunja,naomba muwe macho na majambazi haya.

Hahahaha...duh sijui ila kusema kweli nataka niachane nao..wanazingua kweli aisee
 
VodaCom wapuuz sana huo mtindo wanao sana unaweka salio data iko off unakuta wamekula... Mm niliwakopa kwanza 2000 Ndo nikawatema...
 
ogopa sana unapoambiwa uliwaasha data wakati unatumia nokia ya tochi
 
Salam wadau,
Hui mtandao wa Voda ni matapeli wakubwa sana,yaani unaweka vocha sasa hivi na kukatwa fasta.
ukiwapigia simu customer care wanakuambia uliwasha data,kwa Mimi ndiyo nawaaga rasmi na line navunja,naomba muwe macho na majambazi haya.


Mkuu mi nakushauri utoe hiyo uanze kutumia tIGO kiongozi ukianza kutumia tIGO hutataka kuicha hata kidogo mkuu ni nzuri mno.

Jaribu uone mkuu.
 
Mkuu mi nakushauri utoe hiyo uanze kutumia tIGO kiongozi ukianza kutumia tIGO hutataka kuicha hata kidogo mkuu ni nzuri mno.

Jaribu uone mkuu.

Mkuu,
mi naona hilo ndiyo lakufanya,naachana nao punde.
 
wadau vdakom si mtamdao WA mana.nlichukua mia tano ka MPESA mida ya maongedhi wekata elfu moja voda kwaeli.laifu is not fea.
 
napenda sana speed ya voda kweny internet ila vifurush gharamaaaa.
 
Ninge penda kujulishwa ni vigezo gani hawa voda wanavitumia kufunga vifaa vinavyo wezesha huduma ya internet kwenye minara yao,Ulimwengu wa wa sasa ni mwendo wa internet sasa mbona kuna sehemu zina watumiaji wa internet wazuri tena kwa kasi kubwa lakini hii huduma haipatikani ni mwendo wa Moderm tu tatizo ni nini labda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…