There is no much differencetuhamie wapi mana nachokiona owners wa hii mitandao wanakaa vikao vya kupanga bei za kuwanyonya watumiaji..thats why ukiangalia tigo mb 500 ni sh. 999 wakati voda mb 500 ni sh. 1000
Vip kama wakikimbilia kwakojamani yaaani maisha haya kila mmoja anatafuta namna ya kumwibia mwenzake, nenda tra wanatafuta namna yakukukadiria kiasi utakacholipa kodi,nenda benk hakuna riba wao ndo wanakukata mwisho wa mwezi, nenda mitandao ya simu ndo usiseme, nenda kwa machangudoa nao hivo hivo kila mahali daaaa tukimbilie wapi pa kuponea hakuna ni kuvumilia tu
wakikimbilia kwangu hawapati kitu nitawakimbia na mimi piaVip kama wakikimbilia kwako
The same apply ata kwenye bundle....una 1700 huwez unga bundle ya 1500Vodacom inakera sana, tatizo langu ni pale unapoweka credit ili ujiunge na muda wa maongezi, lets say unajiunga kifurushi cha wiki cha 4000, hata ukiweka 42200m utaambiwa salio halitoshi kujiunga
Hivi mbona mitandao mingine hawana hizo? mbaya zaidi hata ukiweka 4500 ukajiunga, hizo 500 hutazikuta tena.
Hii ni kero inayonifanya kukimbia Voda, kama siyo kutumia M-Pesa hata line ya Voda ningeshaitupa. ( M-Pesa kwa kweli huduma zao ni nzuri)
Ahsante kwa maoni yako,piga *149*01# kupata Mb being nafuu hadi Tsh.300.Si tunataka mb nyie mnaleta cheka zogo.
Mtashangaa na roho zenu, halotel is taking ua place
Si tunataka mb nyie mnaleta cheka zogo.
Mtashangaa na roho zenu, halotel is taking ua place