Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Mimi ni wakala wa Mpesa nna ttzo linanisumbua nmepoteza till no yangu nimefatilia huu mwezi wa sita sasa hakuna msaada wowote mpka leo hii nazungushwa tu na wafanyakazi wenu tafadhari naomba msaada kwa hilo., ikumbukwe kuna pesa zangu katika Till hio na mm nme jiajiri nategemea kiasi flani kuendesha maisha yangu no zangu 0769031701
 
ahsanteni vodacom kwa internet ya kasi. kweli hamkusema uongo kwa kaulimbiu yenu ya HAPA KASI TU.
 
swali langu apo no 3181 mbona hamnisaidii
 
TATIZO HAKUNA MNARA WALA NETWORK ILA LAINI ZA VODACOM TUNAZO

KATA YA MANG'OTO YENYE VIJIJI SITA WILAYA MAKETE MPAKANI MWA NJOMBE
AHSANTE KWA KUPOKELEWA UJUMBE WANGU
 
Voda mnanikera kwa kunitumia msg bila kuhakiki simu za watu nakuturusha roho kuhusu ufeki wa simu, inakuwaje unitumie msg kuwa simu yangu nifeki tena kwa nembo ya TCRA kuwa niende vodashop yeyote nijipatie simu kwa gharama nafuu kuanzia TSH 18.000.
Wakati hao hao TCRA nimekwisha wauliza kuhusu simu yangu na jibu likaja kuwa simu yangu ni OG! jaribuni kuwa wastaarabu maana kunawatu wengine vijijini hawa uwelewa na haya mambo sana nikuwatia raia gharama zisizo za msingi kwa msg zenu zisizo na macho. Upande wangu ninaweza kutafsiri hizi jumbe zenu kama za kihalifu maana mnatulaghai ili mjipatie pesa.
USHAURI WANGU: kwakuwa simu tuzitumiazo mnazitambua basi watumieni hizo msg kwa wahusika wanao tumia simu feki na siyo kwa watu wote, siku nikipokea msg kama hiyo sikunyingine nitawashitaki. Na TCRA naomba wawe makini wasituonee tusiokuwa na uwezo wakupaza sauti maana mnashirikiana na Voda kututumia hizo msg.
NIISHIE HAPO KWA LEO, NAWASILISHA.
 
voda kila siku naandika namba yangu ili iuganishwe na University offer lakn miez sasa hakuna kitu harafu kila niwaulza wananiambiw nijaze tu et
 
Habari wateja VODACOM TANZANIA.

Tafadhali nipigie ni *149*69*Namba ya mteja#

Tafadhali niongezee hela ni *149*68*Namba ya mteja#

Ahsante kwa kuchagua VODACOM.
@MaishaNiMurua.
Ramadhani njema kwa WAISLAMU WOTE.
 

Attachments

  • 1465447105988.jpg
    1.9 KB · Views: 115
Hili file Mb hazikutosha kulipakua, kwa Sababu ya akili kubwa za hawa Vodacom Tanzania
Inabidi nirudi shule,, Hesabu zilinipiga chenga!!!!



Tanzania nchi ya Upendo sana.
 
Wala tusidanganyane ndugu zangu. VODA kuna tatizo kubwa. Jana niliweka kifurushi cha internet cha wiki 1000 kwa m-pesa baada ya dakika kama 10 nikapata msg ya salio la sufuri bila kukitumia. Kutaka huduma nikaweka cha 2000 kikawa vile vile kwa muda mfupi nikiwa nimetumia kdg sana, nikaweka cha 1000 tena ikawa vile vile, siku moja. Jioni niliweka kifurushi cha siku moja ndo nimekitumia walau. Sasa nimeweka cha 2000 cha wiki, sijui yatakayonipata. Namba yangu 0767 arobaini sabini na nane hamsini na nne
 
Hii thread yanu ina maana gan kma hamujibu maswi ya wateja
Tatizo langu nilinunua doble bundle katika Mpesa mara ya kwanza ikaniambie request feil nikakaa kama dk 5 hiv nikajaribu tena ikaniambia tena imefeil baada ya robo saa nikajaribu tena ikaniambia vile vile nikaamua kununua muda wamaongez wa kawaida nikajiunga baada ya nusu saa zinakuja sms 3 kwa mpigo nimejiunga doble bundle mara 3 mkanikata elfu 6000 nilivyo wapigie nikaambiwa nisubir ndio mpaka leo nasubir
 
Naomba nisaidiwe hizi msg za MPESA zinajaa inbox zimeshafika 100 kisa nimelipa DSTV. Ile confirmation msg inakuja tu kea kujirudia rudia. Ndo maboresho hayo??
 
Vodacom rekebisheni vifurushi vyenu jamani. Yaani unakuta kwenye menu ya vifurushi kuna kifurushi cha Sh. 495 au Sh. 999, kwanini msiweke tu isomeke kama ni Sh. 500 au Sh. 1000 ikajulikana moja?

Mteja anakuja anatoa Sh. 500 halafu anapata kifurushi cha Sh. 495. Hiyo chenchi yake inapatkana wapi?
 
Tulisha achana na hiki kitu voda, line zao zimebaki kupokea simu, vifurushi ni halotel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…