simbamzeewamwakidila
JF-Expert Member
- May 4, 2013
- 1,447
- 378
Voda ni tatizo sana kwanza kabisa wamekuwa gharama sana Ina maana sasahivi huwezi jiunga bundle kwa shs 4,000 kwa wikiVoda wamekuwa wapuuzi sana.
well said mkuu dawa ni kuwahama ili wajifunzekwani huko voda sijui mnapewa huduma bure? maana kila siku malalamiko na kuhama hamtaki
Nlijua tu mngeukimbia huu uzi wenu!!! Li line lenu naliweka kabatiniNdugu mteja,
Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?
Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.
Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:
- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.
Karibu
Vodacom Tanzania
Halotel nimejiunga bandle la buku 10 kabisa hawa voda wanataka kuwa kama chama tawala.....Voda mm nimeifanya simu ya mezani kuna sh 70tu kwa ajiri ya dada wa nyumbani akiwa na shida anatubeep ni miezi 6sasa wamezidi na wizi Halotel ndio habari ya mjini
Mmmh kwani umefunga ndoa na vodacom ?hallo vodacom naombeni mniambie nifanye kipi ili line yangu upande wa m-pesa muifungue.
sim card hii mmeifunga kwa kosa ambalo ki uhalisia sio kosa langu ni kosa lenu cha ajabu mnanipa adhabu mie ambae sina kosa je hii ni halali...?
tangu tarehe 20-6-2016 nilifanya transaction kutoka m-pesa kwenda benki ya DTB mnavyodai kupitia huduma kwa wateja namba 100 ni kuwa sim card yangu imefungwa kwakuwa nilituma pesa benki na hizo pesa zikarudi kwenye line yangu ya mpesa japo sio kweli kwamba kuna pesa ilienda benki ki makosa
hata kama ni kweli hivi mimi kweli kwanini mnifungie line wakati mitambo yenu ndio imejikoroga...?
je...? mnajua kutokana na kufungiwa line yangu ni kiasi gani nilifedheheka ugenini arusha kwa kukosa hela ya kula na nauli ya kurudi kwetu kahama..?
mmenipa masaa 72 ya kusubiri zaidi ya mala kumi lakini hakuna jipya sasa nauliza NIENDE WAPI NIKAWASHITAKI MNIFUNGULIE LAINI YANGU? nimeenda zaidi ya mara tano kwa meneje wa vodacom kahama lakini nae ni kama yupo busy au hajali usumbufu ninao upata kwa kulipia garama za boda boda kwenda na kurudi
NAOMBENI MFUNGUE LAINI YANGU UPESI LA SIVYO TUTAPAZA SAUTI KWA MH RAIS AWATUMBUE TU MAANA HAKUNA NAMNA.
Ndio hapo sasa,wakati mitandao imejaa kila konaMmmh kwani umefunga ndoa na vodacom ?
Mkuu napenda nikuhakishie kwamba vidacom ni majizi, tena majizi waliokubuhu.Kuna wizi mkubwa kwa fedha za salio za wateja unaoendelea sasa hivi katika mtandao wa Vodacom.
Kwa vile hili si jungu bali ukweli nimisha report wizi huo katika kitengo cha malalamiko TCRA kwa hatua zaidi.
Nimeweka salio la Tsha 10,000 mchana wa leo kwa Mpesa ref Y23SY687 na baada ya muda mfupi nikakuta salio langu la maongezi ni sifuri.
Nikanunua vocha na kutumiwa tshs 10,000 na hela yote imekatwa tena.
Wateja wa Vodacom jihadharini, kuna mwizi kaingia mtandaoni Vodacom
UPDATE
=====
VODACOM wamefanya ustaarabu wa kunipigia baada ya kuona detail ya transaction hapo juu, na kuiona kwenye mtandao wa Jamiiforums.
Kimsingi wameapologise kwa mtafaruku uliotokea lakini wamenieleza nifike ofisini kwao kuona aian ya simu ninyotumia isije ikawa data apps ziko wazi.
Na kweli baada ya maongezi ya kuchunguza, mobile data setting ilikuwa ON, na mimeizima sasa.
Hata hivyo ni vema nitaenda kupata maelezo ya kuyeyuka kwa salio langu , karibu 20,000, kwa siku moja.
Wanabodi mtajulishwa inawezekana kuna wenye tatizo kama langu.
UPDATE
=====
Nimeonana na waheshimiwa sana wa Customer Care pale Block 4 Mlimani City.
Cha kusikitisha ni wao kushindwa kuchukua malalamiko yangu na kuyafanyia kazi, na hii ni licha ya kuwaelewesha kuwa hili tukio nalijawahi kunitokea na hii kuwa ni mara ya kwanza.
Hawa jamaa wa Customer Care ni kama mabalozi waliopewa jukumu la kusafisha kampuni ya VODACOM hata kama inanuka kwa wizi uliodhahiri.
Kitu ambacho hawajui ni kuwa nilifanya due diligence kupitia wafanyakazi ndani ya VODACOM walionidhihirishia kuwa kuna wafanyakazi wasio waaminifu ambao wana access na personal security settings za wateja.
Na wafanyakazi hao huwa "wapiga kishenzi" fedha za wateja.
Kwa kifupi mtu wa Customer Care ameshindwa kuniconvince na maelezo yake ya upotevu wa Tshs 20,000 katika mtandao wa VODACOM.
Mimi nina sim card mbili za voda tangu wamenitenda mwaka jana sijatumia tena hilo card zao nilinunua airtel. Nawapongeza wale woote mnaopaza sauti japo mimi niliwatoroka kimya kimya.Mkuu napenda nikuhakishie kwamba vidacom ni majizi, tena majizi waliokubuhu.