Tupo wote halotel nilitupa mpk laini ya airtel sh 500 najipatia 600mb kifurushi cha chuo....kwa sasa halotel powa I hope hawatatuchenjia haaaaHawa siwapendi kama nini na lain yao nlishatuoa zaman... niko zangu na halooooooootel
[emoji3] [emoji3]Kwakwel ngoja nizizuie hisia za ndani maana nikiongea apa itakua taabu
Naweza kumezwa apa msinione jukwaani[emoji3] [emoji3]