Watakutoaje wakati hawakujui?Mm nina lalamiko tena mna nikera sana lala miko la kwanza kunipigia cm ili nichague mziki wa anaye nipigia sitaki izo habari maana ni usumbufu kwangu
Lalamiko la pili ni kuwa laini nime weka kwenye cm ya vunja chawa ikiwa na maana kuwa haitumii bando ni sms na kupiga tu sasa mnacho nikera hapa ni kuwa naweka vocha niki chelewa kujiunga kifurushi cha kupiga mna nitumia msg za ajabu ajabu na kula hela yangu hamwoni kama ni wizi toeni iyo kitu kwangu sitaki sina hela za bure hapa mwenye nchi mna mwona mwenyewe ni tatizo kawa jiph
Lole Gwakisa post: 8232006 said:Kuna wizi mkubwa kwa fedha
"Asiependa shule ni mjinga kabisa, barua ikija aitembeza kutwa"Gwakisa umewahi kusikia hii nyimbo?Umetembeza TCRA,JAMII FORUM,VODACOM CUSTOMER CARE kujionyesha ni kiasi gani wewe ni mjinga!Unaweka gari mafuta iko on na umewasha AC alafu unaiacha on unaenda ukirudi mafuta yameisha unasema umeibiwa?What did you expect?unapoacha mobile data on hela inaliwa kwa speed kuliko hata kununua bundleacha nimalizie na ule wimbo "huyooo,huyooo ni mjinga kabisa"
Warudishe vifurushi vyetu..naanza kuwachukia..your not leading any more.Jana tarehe 6.1.2017 tangu saa nane mchana hapakuwapo na mtandao kupitia Vodacom mpaka usiku. Mpaka sasa Vodacom hawajatuomba RADHI sisi wateja wao.
Ata mm nawakubalilakini voda nawakubali kwa speed yao ya net ila gharama sana
Ahsante kwa kuchagua Vodacom Tanzania.lakini voda nawakubali kwa speed yao ya net ila gharama sana