papiso
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 391
- 231
Laini ukiipoteza au ukaiweka kapuni ikizidi mwezi hufungwa mwezi tena ukipita hufutwa mwezi unaofatia hupewa MTU mwingine
Ila kama una mpunga wako Mpesa njoo ofisini unapewa bila wasiwasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Laini ukiipoteza au ukaiweka kapuni ikizidi mwezi hufungwa mwezi tena ukipita hufutwa mwezi unaofatia hupewa MTU mwingine
Hapa nimepapenda,siku hizi nikiongea na CC akijitambulisha jina naandika katika kalatasi kabisa!sasa je ukipiga akapokea yule yule alienikwanza?nitajuaje ninaeongea nae supervisor?
-Matatizo yangu,mimi natumia huduma ya BBM,huwa najiunga kifurushi cha mwezi,wiki,na siku,inategemea kipindi hiko nina kiasi gani.
-Tatizo ni pale ninapojiunga na kifurushi cha siku(24),alafu unakuta zaidi ya matatu au manne huduma sijapata,unakuta nimejaribu kutoa betri ili kurestart,ila wapi,nawapigia CC wanaleta longolongo,na ikifikika saa 6 usiku,huduma inakua imeisha,Kwanini hamtufidii wateja kwa uzembe wenu,tatizo ni lenu si langu...!
-Tatizo lingine mmeweka ukomo wa kuwapigia CC(Customer Care
) kwa mwezi,hamjatenda haki kwa wateja,matatizo mengi ni yenu nyinyi Voda,kwanini mnilazimishe niende katika namba ya kulipia?kuongea na CC?
-Tatizo lingine linalotukera ni mesej na simu zenu za matangazo ambayo si muhimu kwa mteja,mfano kuchagua wimbo,nk,unakuta umelala unasikia cm inaita unaamka kupokea,unaambia sijui chagua Wimbo,unaoupenda...huu ni upuuzi sana,namba ya simu ni Mali yangu binafsi...kwanini mnikere.....
Naomba majibu
Mimi nilipiga simu kulalamikia kutokutumiwa umeme wangu wa elfu 30,nikagombezwa baada ya apo nkafungiwa line yangu kupiga customer care naambiwa et kuna mtu ama report et simu yangu iyo imeibiwa,na mimi ndo mmilki wa iyo namba.msaada tafadhali
Aisee pole sana unaweza nitumie namba uliyotumia kupiga niwatafute wahusika walio kufanyia huo uhuni nisikilize call yako niweza kujudge
Tumekuletea hili tatizo tukijua waweza kulitatua.Mkuu napingana na wewe kwa asilimia mia hakuna watu wanaofanya kazi kama customer care wa Voda tena kwa ufanisi na kujali wa teja japo mishahara yao inasikitiasha na kuvunja moyo labda kama hujui agent mmoja anapokea zaidi ya simu mia mbili na kuendelea kutatua tatizo kujaza form za kila simu na kumantain quality ya Huduma hata kama Mteja akija kwa dharau hasira au matusi hana muda wa kupumzika zaidi ya muda wa lisaa limoja nalo uligawe muda wa chai na lanchi ni kosa la jinai kuingia katika taarifa za Mteja kinyume cha taratibu hata ni mkeo ni ukibainika ni nyumbani
Sasa usiongee kitu uasicho kijua
Tumekuletea hili tatizo tukijua waweza kulitatua.
Umeshindwa , sasa badala ya kujigamba mtandaoni hebu tupe uaratibu wa kulalamika au kufuatilia WIZI kama ulionipata mimi.
Kwamaba watu wa Customer Care wako overworked si suala la mteja , ni poor management system yenu , na halitakiwi kuwa utetezi kwa kutotatua wizi ndani ya mtandao wenu.
At any rate hiyo itaonekana kama ku condone unfaithfulness ya wafanyakazi wachache walio ndani ya kampuni yenu.
Kama mtashindwa hivyo basi tupe utaratibu wa kuwasilisha na kufuatilia TCRA.
WIZI upo ndani ya VODACOM hilo si suala la ubishi.
Kaka ebu kuwa specific
Huku bado baadhi ya sehemu kuna siku huwa haupatikani kabisa huku wateja tukiwa tumenunua vifurushi vya cheka ya kupiga,kutuma msg na kwaajili internet mbaya zaidi muda mnapokuwa hampatikani yaani minara yenu kushindwa kuwa vzr kwamaana simu huwa hazitoki wala kuingia kwa mteja aliyeko maeneo hayo.
Kwanini mnaporudi hewani halafu yule mteja kifurushi chake kikaisha muda wakati tatizo mmesababisha VODA kwa minara yenu na server kushindwa kuwaruhusu wateja kupiga simu wanapokuwa na virushi msiwarudishie vifurushi vyao kwakufidia makosa mliyofanya ninyi voda.
Jaribuni kuwa kama tigo wanapofanya makosa hurudisha kwa mteja wao muda wa maongezi,msg na kifurushi cha internet lakini pia wakimtaka radhi lakini kwa voda huwa wizi umeshamiri sana hasa kuna siku mtandao hauruhusu simu kwenda nje,yaani cheka inapokaribia mwisho mtandao unakorofisha.
Lipeleke hili kwenye uongozi wako minara inaposhindwa kufanya kazi na makosa ni yenu mturudishie muda wetu wetu wa cheka na bundle za neti.
Masuala ya data kuna kitengo maalum cha data ukipiga omba unahunganishwa nao watakupa msaada mzuri zaidi
Mkoa wa Kigoma wilaya ya Kasulu
Inakuaje voda inawateja wengi kuliko airtel lakini airtel wapo ktk ten large tax payers TRA vodacom wasiwepo?mbinu gani mnatumia kukwepa kodi?
Usipime asee,Bahati mbaya wanatajaga majina yao,namkumbka sana uyo sister nataka kujua namwazibu vip kwa hasara aliyonletea wiki mbili sasa sipatikani hewani kisa yeye ccpapiso
Mkuu papiso inakuwaje mbona kimya hujanijibu mkubwa